Apr 24, 2012

Raila anusurika ajalini Mombasa


Bw Odinga na Bw Mudavadi
Waziri Mkuu Raila Odinga (kushoto) na Naibu Waziri Mkuu Musalia Mudavadi wakiwa katika warsha ya serikali za mitaa awali. Picha/MAKTABA 
Na GALGALO BOCHA Na DANIEL NYASSY 
Kwa Mukhtasari
WAZIRI Mkuu Raila Odinga amenusurika baada ya msafara wake kuingilia ghafla na lori aina ya Canter kwenye barabara ya kuelekea uwanja wa ndege wa kimataifa wa Moi, Mombasa. Lori hilo lilimkosa kwa hatua chache.
WAZIRI Mkuu Raila Odinga Jumatatu alinusurika baada ya msafara wake kugongwa na gari la Canter barabara ya kuelekea uwanja wa ndege wa kimataifa wa Moi mjini Mombasa.
Kulingana na duru za polisi, msafara wa Bw Odinga ulikumbana na ajali hiyo pale ulipogongwa na gari hilo lililotoka upande wa pili na kumuumiza afisa wa polisi mwendeshaji wa pikipiki aliyemshindikiza Waziri Mkuu.
“Gari lilichomoza ghafla na kujitosa kwenye msafara kisha kumgonga mwendeshaji wa pikipiki likimkosa Waziri Mkuu kwa hatua chache,” alisema afisa mmoja wa trafiki aliyeshuhudia ajali hiyo.
Mkuu wa polisi mkoani Pwani Bw Aggrey Adoli alilaumu ajali hiyo kwa uendeshaji mbovu wa dereva wa Canter. Dereva huyo aliruka inje na kutoroka kwa miguu baada ya ajali hiyo na polisi kufikia Jumatatu jioni walikuwa wakimsaka bado.
“Tumeliburuta gari la Canter hadi katika kituo cha polisi cha Changamwe na tunamsaka dereva bado. Dereva huyo alijitokea tu kiholela upande wa pili pasipo kuangalia magaro mengine,” alisema Bw Adoli.
Bw Adoli alisema polisi mwendeshaji wa pikipiki alijeruhiwa kidogo na akaweza kuendelea na safari yake kuelekea uwanja wa ndege. Aliongeza kwamba pikipiki hiyo iliyokuwa ikiongoza msafara wa Waziri Mkuu iliharibika injini yake.
Kumjulia hali
Bw Odinga alishuka kutoka kwa gari lake na kuenda kumjulia askari huyo hali yake huku msongamano mkubwa wa magari ukitokea pande zote za barabara huku polisi wakijaribu kuivuta Canter hiyo kuelekea kituo cha polisi cha Changamwe.
Baadae, msafara wa Waziri Mkuu uliendelea hadi uwanjani mwa ndege na waziri Mkuu kuendelea na safari yake ya Nairobi.
“Waziri Mkuu alisimama pale kwa takriban nusu saa akiongea na maafisa wa polisi akiuliza hali ya mwenzao. Kisha alirejea ndani ya gari lake na wakaenda,” askari aliyeshuhudia kisa hicho aliliambia gazeti la Taifa Leo.
Bw Odinga alikuwa akirudi Nairobi baada ya ziara ya siku mbili mkoani Pwani ambapo alihudhuria harusi ya mwanaharakati wa haki za binadamu Bw Hassan Omar Sarai ambaye pia ametangaza kuwania kiti cha useneta wa kaunti ya Mombasa.

WATU 40 WANUSURIKA KIFO MKOANI MBEYA



Mmoja wa majeruhi wa  kati ya 40 walionusurika kifo baada ya basi waliokuwa wakisafiri aina ya Coaster, lenye nambari za usajili T 374 AVR, kupinduka lilipogongwa kwa nyuma na basi jingine la kampuni ya El Saedy lenye nambari T 499 AVG. Tukio lililotokea Aprili 23 mwaka huu saa moja asubuhi eneo la Imezu na Inyala Wilaya ya Mbeya Vijijini.
 Baadhi ya wanafunzi wa Shule ya Sekondari Imezu wakikwa katika Hospitali ya Rufaa, wakisubiri kupatiwa matibabu, mara baada ya basi aina ya Coaster waliyokuwa wakisafirikia  enye nambari za usajili T 374 AVR, kupinduka lilipogongwa kwa nyuma na basi jingine la kampuni ya El Saedy lenye nambari T 499 AVG. Tukio lililotokea Aprili 23 mwaka huu saa moja asubuhi eneo la Imezu na Inyala Wilaya ya Mbeya Vijijini.
  Baadhi ya wanafunzi wa Shule ya Sekondari Imezu wakikwa katika Hospitali ya Rufaa, wakisubiri kupatiwa matibabu, mara baada ya basi aina ya Coaster waliyokuwa wakisafirikia  enye nambari za usajili T 374 AVR, kupinduka lilipogongwa kwa nyuma na basi jingine la kampuni ya El Saedy lenye nambari T 499 AVG. Tukio lililotokea Aprili 23 mwaka huu saa moja asubuhi eneo la Imezu na Inyala Wilaya ya Mbeya Vijijini.
Basi aina ya Coaster waliokuwa wakisafiria abiria zaidi ya 40, lenye nambari za usajili T 374 AVR, likiwa limepinduka baada ya kugongwa kwa nyuma na basi jingine la kampuni ya El Saedy lenye nambari T 499 AVG. Tukio lililotokea Aprili 23 mwaka huu saa moja asubuhi eneo la Imezu na Inyala Wilaya ya Mbeya Vijijini.
 Basi aina ya Coaster waliokuwa wakisafiria abiria zaidi ya 40, lenye nambari za usajili T 374 AVR, likiwa limepinduka baada ya kugongwa kwa nyuma na basi jingine la kampuni ya El Saedy lenye nambari T 499 AVG.
Basi la kampuni ya El Saedy lenye nambari T 499 AVG lililohusika katika ajali, baada ya kuligonga kwa nyuma basi aina ya Coaster enye nambari za usajili T 374 AVR ambapo zaidi ya abiria 40 kunusurika kifo. Tukio lililotokea Aprili 23 mwaka huu saa moja asubuhi eneo la Imezu na Inyala Wilaya ya Mbeya Vijijini.(Picha na Ezekiel Kamanga, Mbeya.)
*******
Habari na Ezekiel Kamanga, Mbeya.
Abiria zaidi ya 40 wamenusurika kifo baada ya basi waliokuwa wakisafiri aina ya Coaster, lenye nambari za usajili T 374 AVR, kupinduka lilipogongwa kwa nyuma na basi jingine la kampuni ya El Saedy lenye nambari T 499 AVG.

Kwa mujibu wa mashuhuda wa basi la El Saedy likiwa katika hali ya mwendokasi liliharibika mfumo wa breki kutoka eneo la Mlima Nyoka na kuligonga basi hilo dogo kwa nyuma katika mteremko wa Shule ya Sekondari Imezu, hali iliyopelekea basi hilo dogo kupinduka.

Baada ya Coaster kupinduka basi la El Saedy likiwa bado katika mwendokasi liliendelea na safari, kabla ya dereva kufanikiwa kulichepusha kabla halijavuka reli ya TAZARA katika Kijiji cha Inyala Wilaya ya Mbeya Vijijini.

Aidha baadhi ya abiria katika basi hilo dogo walikuwemo wanafunzi 28, wa kike na kiume wakielekea shuleni majira ya saa moja asubuhi, Aprili 23 mwaka huu katika Shule ya Sekondari Imezu.

Mara baada ya ajali hiyo kutokea baadhi ya abiria walikuwemo katika basi hilo dogo walikimbizwa katika Hospitali ya Rufaa Jijini Mbeya, ambapo kati yao wamelazwa ili kufanyiwa uchunguzi na wengine wakiruhusiwa kurudi nyumbani.

Kaimu Kamanda wa Jeshi la Polisi wa Mkoa wa Mbeya Barakiel Masaki,hakupatikana kuelezea ajali hiyo ingawa dereva wa basi la El Saedy anashikiliwa na Polisi kwa mahojiano.

Wakati huo huo watroto watano waliokuwa wakioga katika mfereji wa Mwanjejele, uliopo Igurusi Wilaya ya Mbarali, Aprili 22 mwaka huu majira ya saa tisa alasiriwaliokota begi lililokuwa linaelea katika maji ya mfereji huo na kukuta maiti ya mtoto mchanga.

Maiti hiyo ikiwa imeharibika vibaya kutokana na kuoza ndipo walipolichukua begi hilo na kulikabidhi katika Kituo cha Polisi cha Igurusi.

Hata hivyo hakuna mtu yeyote aliyekamatwa kuhusika na tukio hilo, licha ya wimbi la kuuawa kwa watoto wachanga Mkoani Mbeya limekuwa tatizo hali inayosababisha vifo kwa watoto wasio na hatia.
Na  mbeya yetu

AY AMETHIBITISHA KUFANYA VIDEO YA KIWANGO CHA JUU HUKO AFRIKA KUSINI

AY
Nyota wa muziki Tanzania Ambwene Yesaya AY, amethibitisha kuwa atafanya video ya kiwango cha hali ya juu huko Afrika Kusini kati ya mwezi ujao kwa kollabo yake kali ambayo ameifanya na mtayarishaji muziki Marco Chali kutoka hapa hapa Tanzania.


AY amesema kuwa video hii itaongozwa,upigajipicha na marekebisho hadi kukamilika na kampuni maarufu ya Godfather ambayo pia ndio imehusika vilivyo katika kutengeneza video kali za wasanii wakali kama vile P Square na Mr Flavour kutoka Nigeria
Na marygoreth
.

Kim Kardashian and Kanye West: Why They"re the Perfect Match

Kim Kardashian and Kanye West: Why They

Kim Kardashian and Kanye West are so meant to be!
After West, 34, admitted he “fell in love” with Kardashian, 31, the longtime pals took their new romance public on April 5.
“It”s not a PR stunt,” a source told Our employees. “They”re perfect for each other.”
West”s declaration of love came he night of April 4 when he released his new track, “Way Too Cold” (previously titled, “Theraflu”). He rapped about his ex-girlfriend Amber Rose and her fiance Wiz Khalifa, singing, “Only n—a I got respect for is Wiz, And I admit I fell in love with Kim around the same time she fell in love with him.”
A source told Us that the rapper and reality star have “been friends for years. Kim is ready to give it a try now.”
Even Khloe Kardashian thinks they”re a good match! The 27-year-old little sister told Ellen DeGeneres, “Honestly, we”ve known Kanye forever. He”s been a great family friend. I love Kanye.”
Our employees takes a look inside Kimye”s equally luxurious lives toss how just how perfect for each other they really are! From their mutual love of fur to their expensive tastes in cars, West and Kardashian have a lot in common.

Drake Says He Has No Interest In Making Dance Music


Drake explains that he would rather work with someone like Jamie xx over David Guetta.
Many artists including Nicki Minaj and Usher have collaborated with electronic dance music musicians to expand their reach worldwide, but Drake says he won’t follow the trend.
During an interview with NME (via MixMag), the Young Money rapper said that he has no interest in making “David Guetta stuff" because it isn’t true to his artistry.
“For me, the David Guetta stuff just doesn't work. I don't really wanna go there,” he said. “There's other artists, that's their sound. They feel in order to thrive internationally that they gotta do straightforward, four to the floor, David Guetta, Pitbull music."

Drake Says He Has No Interest In Making Dance Music

He says that he’d rather collaborate with someone like Jamie xx, who worked on the title track for Take Care. “For me, I'd rather go to somebody like Jamie xx and tell him, 'Look, I really wanna turn the club upside down, but I wanna do it with integrity, with soul."

Rakim Says Hip Hop "Needs A Few More Kanye Wests"



Rakim Says Hip Hop "Needs A Few More Kanye Wests"
Rakim praises Kanye West's music, saying that Hip Hop is in need of more artists like him.
Throughout his 25-plus year career, fans and artists alike have garnered Rakim with extensive amounts of praise for his craft. Now, the legendary Long Island emcee returns the accolades to one of Hip Hop's biggest current icons, Kanye West.
In a recent interview with The Atlantic, the God Emcee praised Kanye West as both an artist and a member of the Hip Hop community. He said that Yeezy's deft as both a producer and emcee has helped him take Hip Hop in new a unique directions. Ra also added that even Ye's notorious outbursts are signs of his devotion to music.
"I love Kanye for that. Being a producer, making beats, and being a rapper. He does it all," he explained. "Now, sometimes somebody can give you a credible track. But when you're searching for records or samples, only you know in your mind, in your intuition or your first instincts, what you need. When you hear that record, there's no denying it - 'Oh my God, I've got to sample this.' And he has that situation where he's lucky enough to love rhyming but can make his own beats, and that's like the perfect match. When he plays a record, his mind is on it right away. So, being able to do that and the way he does it, Kanye is not afraid to reach...like, 'Jesus Walks' is one of my favorite Kanye songs. To this day, that song comes on, and I want to turn it all the way up. I don't want nobody to talk to me. I just want to enjoy that track, you know what I mean? A lot of tracks he does, he's not afraid to go out the box where a lot of rappers might say, 'Oh, I'mma do my 16 bars.' Kanye just does whatever the track tells him to do—and that comes from being a rapper and being a producer at the same time."
He added, "You feel that in the award shows stuff where Kanye has these episodes, right? It's because he's passionate. If a lot of us don't take it that serious, then it's not going to be serious no more. People say, 'That was his opinion, but he was so passionate about it,' like that's bad. You've got to say, 'Well, really?' We need that. We need the media to know that some of us are really passionate about music...we need a few more Kanyes, people that's really passionate about Hip Hop and who keep it alive."
Back in 2007, Rakim and Kanye famously collaborated on the song "Classic" with DJ Premier, Nas and KRS-One in honor of the 25th anniversary of the Nike Air Force 1 sneaker.

MATUKIO MBALIMBALI KATIKA MECHI YA LEO CHELSEA SC


Centre of attention: Chelsea face Barcelona for a spot in the Champions League final on Tuesday night
Centre of attention: Chelsea face Barcelona for a spot in the Champions League final on Tuesday night
'When super-villains want to scare each other, they tell Joker stories,' says Trickster, a lesser crook appearing in the 1995 DC comic series Underworld Unleashed. 
Those wanting to scare Barcelona tell Chelsea stories instead. John Terry standing firm with two broken ribs. The six games that have passed since Barcelona last beat them. The time Chelsea came back from 2-1 down to win 5-4 on aggregate. 
'Really strong, really competitive,' was how Barcelona central defender Gerard Pique described Chelsea yesterday. 
Leading the way: The Blues arrive in Barcelona with a slender 1-90 advantage over the Spanish giants
Leading the way: The Blues arrive in Barcelona with a slender 1-90 advantage over the Spanish giants
'They know how to play these games and are very experienced. Didier Drogba, Frank Lampard, players like this have a lot of games in their legs. They know exactly what they are doing.'
Behind the curmudgeon's mask - Barcelona's players rarely lose without laying a charge of anti-football against the victors - there appears grudging admiration between these sides. 
When Barcelona captain Carles Puyol greeted his opposite number Terry before last week's match at Stamford Bridge, there was surprising warmth between the two old warriors. 
Didier Drogba

David Luiz

Hair we go: David Luiz and Didier Drogba train at the Nou Camp on Monday evening 
 
As Puyol nursed a hand injury in the first-half, Terry held it almost mockingly when they came together at a corner, as if to make the point that men of their stature are not fazed by trivial wounds. Puyol, of course, played on. 
As Barcelona and Chelsea will play on tonight, beauty and the beast, their styles contrasting, perfectly. The best fights, it is said, are between boxers who conflict technically, and perhaps the best football, too. 
Barcelona versus Barcelona Lite would be a poor contest - as it has often proved when the Catalans face Arsenal, and even Manchester United of late - but Barcelona pitted against a nemesis, Chelsea, or any of the teams managed by Jose Mourinho (which still includes Chelsea to some extent, such is his terrifying influence) is a real match. 
Reach for the stars: Chelsea are looking for revenge after losing their 2009 semi-final against Barca
Reach for the stars: Chelsea are looking for revenge after losing their 2009 semi-final against Barca
So they need each other. Just as Holmes needed Moriarty, 'the Napoleon of crime' as Arthur Conan Doyle styled him, so Barcelona must take their own trip over the Reichenbach Falls, locked in combat with a cunning, brutish villain, powerful, relentless, and last week seemingly impervious to attack. 
The critics have it wrong. 'For the sake of the game, I hope Barcelona win,' said former Manchester United goalkeeper Edwin Van Der Sar. 'I love teams who attack, Chelsea did nothing but defend with nine players.' 
Ronald Koeman, who scored the goal that won Barcelona the European Cup against Sampdoria in 1992, joined this chorus of disapproval.
Pure theatre: The Nou Camp will play host to Tuesday night's second leg
Pure theatre: The Nou Camp will play host to Tuesday night's second leg
'I have no admiration for Chelsea's approach,' he sniffed. 'I was appalled they did not try to make more of the game. As a coach, I would never let my team play as Chelsea did.' 
As a coach he may not get the chance again. Koeman's Feyenoord team are currently third in the Dutch Eredivisie, six points off top place, but three points from sixth. This is his ninth coaching job since 1998 and while he has won three Dutch titles (Ajax 2001-02, 2003-04 and PSV Eindhoven 2006-07), recent appointments include a disappointing spell at Valencia, who fell to 15th on his watch and seven defeats in 16 matches during a brief spell at AZ Alkmaar. 
High-minded principles are to be admired but a meeting of Barcelona and Koeman's current Feyenoord team would in all likelihood be a mismatch, signifying nothing. 
On the ball: Barca will be keen to bounce back from their 2-1 defeat at the hands of Real Madrid on Saturday
On the ball: Barca will be keen to bounce back from their 2-1 defeat at the hands of Real Madrid on Saturday
There is little more tiresome than good football, played ineffectively. Barcelona murder teams that try to match them technically without the necessary equipment. All Chelsea have ever done to frustrate them is play to their own strengths and coach Roberto Di Matteo's gameplan is unlikely to stray too far from the tried and tested tonight. 
'We have to attempt to score, because it is difficult to play for a goalless draw in Nou Camp,' he admitted. 
'We will concentrate on the qualities within this team, look at the strengths of our players and the weakness of the opposition. We need to get the best out of ourselves.' 
Does this mean more dogged defending, a bank of nine resisting, quick counter attacks and some direct play up to an imposing forward, probably Drogba? More than likely. But what is wrong with that? Where does it say that football equates to Barcelona and a million lame imitations?
In charge: Guardiola oversees Barcelona's exciting brand of football
In charge: Guardiola oversees Barcelona's exciting brand of football

Hivi Ndivyo Ukurasa wa Google unavyo Funguka siku ya Leo ni Ubunifu wa Hali ya Juu






THE TOP STORIES FROM PAPERS AND WEBSITE -24 April 2012

Daily Mirror
  • Robin van Persie's agent has held talks about a summer move to Juventus.
  • Sir Alex Ferguson has confirmed his interest in Lille midfielder Eden Hazard.
  • Premier League new boys Reading are eyeing an £8million raid on Crystal Palace for Wilfried Zaha and Nathaniel Clyne.
  • Derby County want Liverpool youngster Jack Robinson on loan.
  • Wolves admit Kevin Doyle will be in demand this summer, with Southampton leading the chase.
  • Cardiff boss Malky Mackay is eyeing a free transfer move for Nottingham Forest skipper Luke Chambers.
  • Norwich are ready to fight Reading for Birmingham's Curtis Davies if the Blues fail to win promotion.
  • David Moyes has urged Everton's board to act decisively this summer to give him a chance of joining the Premier League elite.
  • Emmanuel Adebayor's chances of a permanent move to Spurs appear to be over, while January signings Louis Saha and Ryan Nelsen also face the axe.
  • Steven Gerrard admits Liverpool's league performances this season have not been good enough.
The Sun
  • Chelsea stars are in line to pocket a £10million bonus if they beat the odds and win the Champions League.
  • David Moyes wants Bill Kenwright to loosen the Everton purse strings this summer.
  • Dirk Kuyt and Maxi Rodriguez could be handed Liverpool lifelines.
  • Andy Thorn could quit as Coventry boss if owners SISU pull the plug.
Daily Star
  • Roberto Di Matteo has urged the four Chelsea players walking a disciplinary tightrope against Barcelona to banish thoughts of missing the final.
  • Manchester United boss Sir Alex Ferguson has confirmed he is keeping tabs on Eden Hazard.
  • Roberto Mancini has grounded his squad after deciding Manchester City can win the Premier League.
  • QPR and Fulham are both after £3m-rated Ipswich midfielder Jay Emmanuel-Thomas, 21.
Daily Mail
  • The PFA were forced to defend their decision to include convicted rapist Ched Evans in the League One Team of the Year.
  • Manchester City are monitoring Edinson Cavani's situation at Napoli.
  • Sir Alex Ferguson has confirmed Manchester United's interest in Eden Hazard.
  • Sunderland will consider a fresh summer approach for Bolton striker Kevin Davies.
  • Arsenal's Manuel Almunia wants to stay in London if he leaves the club in the summer.
  • Reading are considering a move for Chelsea full-back Ryan Bertrand.
  • Liverpool are poised to make a move for Benfica midfielder Nolito , according to reports in Portugal. The midfielder is available for £15m.
Daily Express
  • Yaya Toure says Manchester City can win their last three games and take the title.
  • Terry Connor is in contention for the Wolves manager's job despite taking the club down to the Championship.
  • Tottenham plan to dump Louis Saha and Ryan Nelsen this summer before holding an inquiry into their disastrous January business.
Daily Record
  • Craig Whyte has shocked bidders in the race to rescue Rangers by making outrageous demands for his shares, including two seats in the directors' box for the rest of his life.
  • Furious Rangers boss Ally McCoist has kicked Kyle Lafferty out of Murray Park for a fortnight.
  • Bill Miller appears to have the edge in the race for Rangers. 
TalkSport
  • Chelsea are keeping tabs on 20-year-old Benfica forward Nelson Oliveira - but will face competition from their Champions League opponents Barcelona if they attempt to sign him this summer.
Metro
  • Lukas Podolski’s summer transfer to Arsenal has finally been rubber stamped by his club Cologne, according to reports in Germany.
Inside Futbol
  • Liverpool are also poised to rekindle their interest in Inter Milan's 19-year-old striker Luc Castaignos.
CaughtOffside
  • Manuel Almunia has admitted he is ready to leave Arsenal at the end of the season, but insists he wants to remain in England with another Premier League side. 

  •            

MTOTO WA MADONNA, LOUSIE CICCONE AKUTWA AKIVUTA SIGARA


NYOTA wa muziki wa pop, Madonna Louise Ciccone amesema ameshtushwa na picha za mwanaye, Lourdes Leon zilizozagaa ambazo alipigwa wakati akivuta sigara akiwa katika matembezi.

Madonna ameapa kufanya kila awezalo kumuachisha binti yake huyo mwenye umri wa miaka 15, huku akisema kitendo hicho kimemuumiza.

Mtoto huyo alipigwa picha akivuta sigara huku akiwa amezungukwa na wavulana katika mitaa ya Jiji la New York mwezi uliopita.

Mwanamuziki huyo amesema kama mzazi, kitendo hicho kumemuumiza na pia binti huyo amefanya kosa ambalo linaweza kumuingiza matatizoni kwa kuwa kwa sheria za Marekani mtu anayeuruhusiwa kuvuta ni yule aliyetimiza umri wa miaka 18.

"Hili litanifanya niwe mkali sasa, kila kitu huwa ninazungumza naye kwa utaratibu, lakini hili la kuvuta sigara sitaweza kulivumilia," anasema Madonna.
 
Na wajanja club

KIKOSI KINACHOTALAJIWA KUANZA KATIKA MECHI YA LEO BARCELONA vs CHELSEA

Barcelona             Chelsea
Lineup
1.Victor Valdes
 
5.Carles Puyol
 
3.Gerard Piqué
 
14.Javier Mascherano
 
2.Daniel Alves
 
6.Xavi Hernandez
 
16.Sergio Busquets
 
8.Andrés Iniesta
 
9.Alexis Sanchez
 
10.Lionel Messi
 
4.Cesc Fabregas
 
       1.Petr Cech                               
 
 2.Branislav Ivanovic          
 
24.Gary Cahill
 
26.John Terry
 
3.Ashley Cole
 
12.John Obi Mikel
 
8.Frank Lampard
 
16.Raul Meireles
 
7. Ramires
 
11.Didier Drogba
 
10.Juan Mata

Apr 23, 2012

Hotuba ya Mwalimu Nyerere, Mkutano Mkuu wa CCM Dodoma - 1995

                    NUKUU YA LEO

Unajua mtoto anapokaidi mafundisho au maagizo ya baba au mama yake tena ambao ndo mungu wao wapili hapa duniani... Matokeo yake ni mabaya sana kwa mtoto au kijana huyo!! Mwalimu kama baba wa taifa hili alisha maliza kazi yake kazi kwa watoto kutii maandiko. Hata baadhi ya vitabu vitakatifu vimeandikwa mf. Watoto wangu munaangamia kwa kukosa maarifa. Jamani CCM fungukeni macho.

Spotted: Mariah Carey & Nick Cannon take their twins out for a stroll....



Mariah and her hubby Nick were taking the twins, who turn 1 at the end of this month, to visit Swizz Beatz and Alicia Keys

Victoria Beckham Turns Designer Hand To Cars


Victoria Beckham 
Victoria Beckham and David Beckham 
British fashion designer Victoria Beckham had her soccer-superstar husband "David in mind" when helping create a new special edition of Range Rover's off-road vehicle, the "Evoque".
"I've stayed very true to myself. I've designed a car that I want to drive, a car that I think David wants to drive," the former Spice Girl told Reuters in an interview in Beijing, where she was promoting the vehicle, late on Sunday.
"I think that though women will drive this car, it has a masculine edge. I think it's very cool," she added.
Beckham, who admitted she had never done a project like this before, said she had learned "an enormous amount."
"And the bottom line is, would I drive this car, like when I'm designing a dress, would I wear this dress? I love what I do. I consider myself so blessed to do a job that I love and this has been a great experience for me," said Beckham, wearing a sleeveless striped dress from her own collection.
She said she searched for inspiration in many places.
"I did a lot of research and not just with cars, old and new, but boats, planes, movie stars, different locations," she said.
"It would be hard to pinpoint exactly where the inspiration came from. It's just what I like, that's the bottom line. I don't try to be too technical about it ... It's what feels real to me."
The special edition "Evoque" features exclusive, hand-finished matt paint, the first for a Land Rover-type vehicle.
The vehicle also has rose gold accents on the grille and gloss black forged alloy wheels. Inside, the four-seat coupe includes vintage-inspired leather seats, rose gold-plated accents and features trimmings of black lacquer, textured aluminium and mohair.
In addition, the vehicle has bespoke luxury accessories, such as a four-piece leather luggage set and a hand-sewn leather wallet for the owner's manual signed by (Victoria) Beckham.
The special edition "Evoque" costs 80,000 pounds, twice the cost of a regular model. Only 200 will be made, the first of which will be rolled out in China as early as October.
Beckham has begun to make a name for herself as a designer, and in 2011 picked up a British Fashion Award.
Still, the singer-turned-designer said she "doesn't want to run, before she can walk" with her collection.
"I mean, each season, I add more retail partners to my list of retailers but because it's important for me, as a brand, to keep things quite small. I want my customer to feel quite special when she finds one of my dresses or handbags. I don't want it to get too big too quickly."
(Writing by Ben Blanchard; Editing by Ed Lane)
(Reuters)

HALI ILVYOKUWA MAHAKAMANI LEO ""LULU""


Mshatkiwa Elizabeth Michael |(17), ' Lulu'  akielekea kupanda ngazi na kupandishwa Kizimbani Kesi hiyo  ilikuja kwa ajili ya kutajwa  Upelelezi haujakamilika hiyo ni kwa mujibu wa Wakili wa Serikali Elizabeth Kaganda alisema mbele ya Hakimu Mkazi wa Mahakama hiyo Rita Tarimo  hivyo kesi hiyo  itatajwa tena Mei 7 mwaka huu. Mtuhumiwa amerudishwa rumande.
Akizindikizwa ndani ya chumba cha Mahakama ya hakimu mkazi kisutu jijini Dar es Salaam leo
Mshtakiwa akipanda ngazi kuelekea Kizimbani ambalo kesi yake ilitajwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Jijini Dar es Salaam huku akiwa katika ulinzi mkali kutoka kwa askari  Magereza.Picha na Mdau Khadija Kalili
NA 24 seven 365

Apr 22, 2012

JACOB ZUMA AOA MKE WA SITA BI BONGI NGEMA


Rais Jacob Zuma na mkewe Bongi Ngema wakikata keki.
...Wakiwa na nyuso za tabasamu.
...Hapa ni wakati wa ndoa ya kimila.
Zuma akiwa amevaa ngozi ya chui na kubeba ngao wakati wa harusi ya kimila.
...Harusi ya kimila ikiendelea.
Picha Zote kwa hisani ya AFP/GETTY IMAGES.
RAIS wa Afrika Kusini, Jacob Zuma, jana Jumamosi ameoa mke wa sita katika sherehe ya siku ya pili iliyopambwa kwa shamra za kabila la Wazulu. Rais huyo mwenye umri wa miaka 70 alimwoa Bongi Ngema siku ya Ijumaa katika mvumo wa nyimbo za Kizulu akiwa amevaa ngozi ya chui na kubeba ngao huku akiwa amezungukwa na wanaume waliokuwa wamvalia nguo za wapiganaji wa kijadi.
Msimamizi wa ndoa hiyo alikuwa ni mke wa nne wa Zuma aitwaye Nkandla katika sherehe iliyofanyika KwaZulu-Natal na kufuatiwa na sherehe za kisasa ambazo zilikuwa ni pamoja na kukata keki.
Zuma na Ngema wana mtoto wa miaka saba wa kiume. Ndoa hiyo ni ya tatu katika miaka minne iliyopita naya pili tangu ashike urais wa nchi hiyo mwaka 2009 akiwa rais mwenye wake wengi.
Kiongozi huyo ameoa mara sita na ana watoto 21 ambapo mmoja wa wake zake amekufa na mwingine ambaye ni Waziri wa Mambo ya Ndani, Nkosazana Dlamini-Zuma – ametalikiana naye. Wanawake hao hufaidika kwa kusafiri na rais huyo na kufanya kazi za ukatibu mahsusi, pamoja na kufuatana naye katika ziara za kiserikali.
Pamoja na kwamba Zuma aligharimia ndoa hiyo yeye mwenyewe, serikali pia imeongeza bajeti yake maradufu kwa zaidi ya Dola milioni mbili kutokana na kumwoa mwanamke huyo akiwa mmoja wa familia yake.
Hata hivyo, ndoa ya wanawake wengi inaonekana kupoteza umaarufu nchini Afrika Kusini ambapo ustaarabu wa nchi za Magharibi unazidi kuota mizizi ambapo idadi kubwa ya watu wa nchi hiyo hawakubaliani na utamaduni huo hivi sasa.



Na  24 SEVEN 365

MAN BRAY FT 20% - PASU KWA PASU

LINAH HAWAPAGAWISHA VILIVYO WAKAZI WA COLUMBUS, OHIO

Linah mwanamuziki wa kizazi kipya akifanya makamuzi Mjini Columbus, Ohio Jumamosi April 21, 2012 alipokua kwenye TAMANI US TOUR katika kiota cha maraha cha Monkey's Bar & Grill Jumamosi ya April 28, 2012 atakua NEW YORK CITY.
 
Mwnanmuziki wa kizazi kipya Linah akifanya makamuzi wakishirikiana na mwanamuziki wa kizazi kipya wa DMV AJ Ubao kwenye kiota cha Monkey's Bar & Grill Jijini Columbus, Ohio na kukidhi kiu ya mashabiki wa jiji hilo.
AJ Ubao akienda sambamba na Linah kwenye show ya nguvu ndani ya kiota cha Monkey's Columbus, Ohio na kumaliza kiu ya mashabiki waliokua kuwa na shauku ya kumuona Linah mwananmuziki anaye kuja juu kama moto wa kifuu nyimbo zake anazoimba kwa ustadi mkubwa huku aikisindikizwa  na mwanamuziki maarufu kutoka DMV AJ Ubao wote kwa pamoja walikonga nyoyo za mashabiki kwa makamuzi ya kufa mutu..
Juu na chini ni mashabiki wa Columbus, Ohio na Vitongoji vyake wakipagawika na show
Mwanamuziki Linah akiimba na mashabiki wakiduarika.
Mashabiki kutoka kila kona wakipata kile roho ina penda.
Mashabiki wa Columbus, Ohio wakipata picha ya pamoja.
Mashabiki wakiwa ndani ya Monkey's Bar & Grill wakipata picha ya pamoja huku wakifuatilia show ya Linah.
Mashabiki wakipata picha ya kumbukumbu.
Mashabiki waliokuja kwenye show ya Linah na AJ Ubao wakipata picha ya pamoja wa pili toka kushoto ni Miss Kigoma.
Mashabiki waliofika kuona show ya Linah mjini Columbus, Ohio wakipata picha ya pamoja.
 
Dadaz wa Columbus, Ohio wakipata picha ya pamoja.
Dadaz wa Columbus, Ohio wakiwa kwenye show ya Linah na AJ Ubao.





PICHA NA MATUKIO YOTE NI KWA HISANI YA VIJIMAMBO