Aug 20, 2012

PICTURE , my self, friends and family



 My friends obama,(right). my self and juma(left)
hakuna furaha maishani kama kuwa na furaha, aman na watu wanaokujali kwa kila kitu . hivyo leo nimeamua kuonesha baadhi ya bata, friends and family.




                                            my self

mambo ya tour, hapo ni bagamoyo nilipokwenda kupumzika na washikaji , juma. normz and shaibu
 Follow @mwendapole1 on Twitter!
Like us on Facebook!

manchester united inajiandaa kumsajili Ricardo kaka

      ricardo kaka   
klabu ya Manchester United inajiandaa kumsajili kwa mkopo wa muda mrefu mshambuliaji Ricardo Kaka wa Real Madrid ya Hispania.
Real Madrid ipo tayari kumuuza Kaka kwa mkopo wakati ikiwa inajiandaa kumsajili mshambuliaji Luka Modric.
Mbali na Manchester United, klabu zingine zilizoonyesha nia ya kumsajili Kaka ni Galatasaray ya Uturuki na AC Milan ya Italia.
Kocha Mkuu wa Manchester United, Sir Alex Ferguson anampa nafasi kubwa Kaka, lakini pia ameonyesha wasiwasi wake kuhusu kiwango chake na majeruhi, ambayo yamekuwa yakimuandama mara kwa mara.
 Follow @mwendapole1 on Twitter!
Like us on Facebook!

NIVKI MINAJ CANCELS CONCERT, EVENT IN ENGLAND-Laden tweets

 Nicki Minaj’s recent decision to pull out of the upcoming V Festival for health reasons is not sitting well with some of her fans.The singer was supposed to headline the event in England this weekend until doctors ordered her to be on vocal rest.That explanation, it seems, isn’t good enough for some concertgoers, who have been using Twitter to vent their frustrations.
But Minaj is now hitting back, firing off several expletive-laden tweets on Monday morning, defending her decision — and slamming those who disagree.
“I am so thankful to my true fans who understand WHY I couldn’t play #VFestival & WHY I can’t play Dublin. Absolutely gutted,” she began.


Follow @mwendapole1 on Twitter!
Like us on Facebook!

BAADDHI YA TWEET KWA MCHEZA FILAMU,DIRECTOR ALIYEPOTEZA MAISHA

Hollywood is taking to Twitter to mourn the tragic loss of Top Gun, True Romance and Man on Fire director Tony Scott, who committed suicide on Sunday.
Here are some of the thoughts that celebrities are sharing about the director and his legacy:
Justin Timberlake: “So sad to hear the news about Tony Scott. His movies made growing up more fun for me. My prayers and condolences to the Scott family.”
Seth Green: “Literally can’t process Tony Scott being dead. He was a brilliant story teller & a f***ing awesome man. Love & prayers for the family”
Jon Favreau: “Such sad news about Tony Scott. Heartfelt condolences to his family and friends.”
Samuel L. Jackson: “Taking a moment to reflect on Tony Scott’s life & work! My sympathies to his family. Feeling the loss!”
Ron Howard: “No more Tony Scott movies. Tragic day.”

Elijah Wood: “Awful news about Tony Scott. rest in peace.”

Mena Suvari: “I am so shocked & completely saddened over hearing that Tony Scott passed away today. He was such an amazing spirit, full of life & passion. I am grateful for the opportunity to have worked with him & cherish the beautiful memories I have of him buzzing around the set.”

Jamie Kennedy: “Tony Scott was the warmest and most generous person I ever worked with.Always gave u the biggest smile with the #bigcigar. Make god smile.xo.”

Stephen Fry: “Deeply saddened to hear the news about Tony Scott. A fine film-maker and the most charming, modest man.”

Martha Plimpton: “So very, very sorry to hear of the death of Tony Scott. A terrible, terrible loss of a truly talented, brilliant man.”

Zachary Quinto: “Met Tony Scott once. Thought we would meet again. Saddened by news of his passing. Grateful for the work he leaves behind. Peace to you sir.”

Pam Grier: “Condolences to Tony Scott’s family. RIP.”

Peter Facinelli: “#RIPTONYSCOTT Big fan. Thank you for all of your movies. Sad day.”

Dane Cook: “Devastated by the death of Tony Scott. Just watched True Romance 1 of my top 5 fav movies ever a few nights ago. #RIP.”

Rob Schneider: “So sorry to hear Tony Scott is dead. A great director.”

Rosario Dawson: “Tony Scott…. You left us too soon. How terribly sad. What a lovely, kind human being you were. I will love and miss you much. Blessings to your family. Rest In Peace.”

Eli Roth: “RIP Tony Scott. Never knew him but always heard nothing but great things about him and I loved his films. Terrible loss for cinema.”

James Gunn: “RIP Tony Scott. Damn. He was a huge inspiration. Very sad.”

mwendapoleb.blog will update as more stars react to the sad news.
Feel free to share your thoughts about Scott in the comments section below.

Follow @mwendapole1 on Twitter!
Like us on Facebook!

MATUKIO :ALEX SONG AFANYA VIPIMO , BARCELONA

Alex Song is on the verge of completing his move from Arsenal to Barcelona after passing his medical at the Spanish club.


The Cameroon midfielder will sign a five-year contract, with the Gunners receiving a £15 million fee.
Song – who was left out of the squad for Saturday's goalless draw with Sunderland at the Emirates Stadium – will join former Arsenal team-mate Cesc Fabregas at the Spanish giants.
The move is expected to be sealed later on Monday, with the 24-year-old presented to the media on Tuesday.
Barca club doctor Ricard Pruna told the club's official website: "He has a very low fat percentage and very good quality muscle. I don't think he has had any muscle injuries since he was 17. This is good news. All tests have gone well and he is available for the coach (Tito Vilanova)."
Song registered more assists in the Premier League than any other Arsenal player last season, with 11 to his name. Arsenal have therefore lost their most creative player this summer as well as their top scorer following Robin van Persie's move to Manchester United.
Barca, who finished second in La Liga last season, got their new campaign off to a winning start at the weekend with a 5-1 home win over Real Sociedad.
The victory featured a competitive debut for Spain left-back Jordi Alba and David Villa coming off the bench to score on his first appearance since breaking his leg back in December

yaliyojiri facebook & twitter


DJ ZERO AMBAYE JANA ALITISHA MBAYA KWENYE WIZO MCHUMA WA CLUB SAN CIRO HAPO AKIWA NA SWAHIBA WAKE DJ CHOKA NDANI YA CLUB HIYO(INFO BY DAUDI WA KOTA)

   
Alex Song Has Passed His Medical Test
 


  • Edo Kumwembe
    Watanzania....wazee wa matukio..watu wa kudakia yanayokuja na si yaliyopita...Lulu. Mbona mmemchunia sasa?? Anyway huu ndo wakati wangu wa kwenda kumtazama na kumfariji. Nilijua mtaacha tu!!!
     Nawe pia unaweza kuuza sura hapa kwa kunitumia picha zako au tukio lolote kupitia mwendapolebenedict@gmail.com
            au nitafute kwenye facebook kwa jina la www.facebook.com/page/mwendapoleb.blogspot.com 

RAPA WA KIKE KUTOKA UGANDA, KEKO AMEKUWA CHIZI?



Mitandao yakijamii ilikuaimejaa habari za rapa wa kike kutoka Uganda zikisema kwa amekuwa chizi baada ya kuonekana akimkimbiza kibaka wa laptop. Star huyo aliendelea kwa kuandika kwenye ukurasa wake wa twitter jinsi gani Uganda imekuwa si sehem salama kwake na kuna watu wanahatarisha maisha yake.
watu ambao walitaka kufahamu zaidi kuhusu stori hiyo, walijaribu kumpigia simu, lakini matokeo yake ilipokelewa na dereva wa boda boda na hata alichokiongea kilionekana kutokuleta maaa yoyote.
kitendo hicho cha Keko, kimewalazimu baadhi ya watu kuhitimisha kuwa amechizika. habari za hivi karibuni zinadai kuwa uchizi huo stori ya Keko ulikuwa ni stunt tu, aliyoitumia kufanya utafiti kujua ni kiasi gani anajulikana na watu
Keko ambae sasa yuko chini ya Sony Music Entertainment ameahirisha uzinduzi wa album yake mara tatu sasa ambapo alitangaza kuizindua mwezi wa nne tarehe 17 mpaka mwezi wa tano tarehe 4 na sasa kuipeleka mpaka mwezi wa nane tarehe 10, na inasemekana Sony nao wanataraji kutangaza siku yao ya kuzindua album hiyo.

GOLDIE WA BIG BROTHER ANAKUJA BONGO KWA AJILI YA MWANAMUZIKI HUYU

 Goldie ambae alikua mwakilishi wa Nigeria kwenye shindano la Big Brother Africa 2012 amethibitisha kwamba anakuja Tanzania mwanzoni mwa September 2012 kwa ajili ya kazi moja tu.
Goldie anakuja kwa ajili ya kutimiza lengo lake la kuingia studio na kurekodi kolabo na Ambene Yesaya a.k.a AY tu.
Amesema anafurahi kujua anakuja Tanzania ambapo tayari Ay ameshamuahidi kumpeleka na kumuonyesha sehemu mbalimbali za Tanzania.
Goldie ambae alifall inlove kwa Prezzo wa Kenya alimfahamu Ay kwa Prezzo ambae alikua anamuongelea sana, pia kupitia nyimbo zake zilizokua zikipigwa kwenye jumba la Big Brother na hasa wakati alipokua akigombana na Prezzo.. Big Brother alikua anapiga single ya Ay na Sauti Sol wa Kenya ya I dont wanna walk alone.

Aug 16, 2012

YALIYOJIRI FACEBOOK & TWITTER


We'll be deadliest in Europe with Van Persie, says United boss Fergie ahead of £24m deal...... TODAY THIS IS RVP page too


WELCOME TO Manchester RVP ♥

CHRIS BROWN NA DRAKE WAZUA TAFRANI, MAMBO YAMEKUWA SI MAZURI KWA MARA NYINGINE



Sakata la kurushiana chupa lililoanzishwa na wasanii maarufu nchini Marekani Chris Brown na Drake katika klabu moja ya usiku huenda likawagharimu hadi dola milioni 16.
Kwa mujibu ya NewYorkPost tuhuma zimefunguliwa dhidi yao katika mahakama kuu ya jimbo la Manhattan, ambapo kampuni ya Entertainment Enterprises Ltd inadai kuwa mastaa hao ndio walianzisha vurugu pacha za Greenhouse na WiP mnamo tarehe 14 mwezi Juni na kuwaamuru wapambe na mashabiki wao kuingilia.
Mashitaka yaliyofunguliwa yanata kushikiliwa kwa Brown na Drake, ambao hakuna kati yao aliyefunguliwa mashitaka ya uhalifu, kuhusiana na sakata hilo.
Faili hilo lililofunguliwa linamadai ya dola milioni 16 kama hasara kutokana na uzembe wa wasanii hao na kufanya vitendo vya hatari na kwa makusudi kufanya vitendo kinyume na sheria.

MATUKIO YA PICHA KUTOKA BUNGENI MJINI DODOMA LEO


 Waziri Mkuu Mizengo Pinda akizungumza na baadhi ya wabunge  nje ya ukumbi wa Bunge leo, mjini Dodoma.
 Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Christopher Chiza (kushoto aliyenyoosha mkono) akizungumza na Mbunge wa  Jimbo la Sumve, Richard Ndasa katika ofisi za Bunge  mjini Dodoma leo, baada  ya kuwasilisha kauli ya Serikali kuhusu utaratibu wa  Ruzuku  ya Pembejeo  kwa Wakulima kwa mwaka 2012/2013. Katikati ni Naibu wake Adam Malima.
Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Christopher Chiza(kulia aliyegeuka)  akisikiliza jambo kutoka  kwa  Mbunge wa Bariadi Mashariki John Cheyo na  katikati ni Mbunge wa  Jimbo la Sumve, Richard Ndasa katika ofisi za Bunge  mjini Dodoma leo, baada  ya kuwasilisha kauli ya Serikali kuhusu utaratibu wa  Ruzuku  ya Pembejeo  kwa Wakulima kwa mwaka 2012/2013.

AFC LEOPARDS KUTUA KESHO KUKABILIANA NA YANGA NA SIMBA



TIMU ya FC Leopards ya Kenya inawasili nchini kesho tayari kwa kuwavaa Simba na Yanga, katika mechi za kirafiki za kirafiki za kimataifa kwa ajili ya kujiandaa na Ligi Kuu Tanzania Bara.
Simba ndio watakaonza kucheza keshokutwa kwenye Uwanja wa Sheikh Amri Abeid jijini Arusha, na Yanga watacheza Jumanne ijayo kwenye Uwanja wa taifa Dar es Salaam.
Akizungumzia ujio wa timu hiyo, Mratibu wa mechi
hiyo, Kennedy Mwaisabula alisema kila kitu
kinakwenda vizuri na wanatarajia mechi hizo
zitajaa upinzani mkali kutokana na jinsi timu
hiyo ilivyo.
"FC Leopards ni timu nzuri kila mmoja anaijua
kwani inaupinzani mkali sana katika Ligi Kuu ya
Kenya, na ndio maana tukaiomba ije kwa ajili ya
kuzinoa timu zetu," alisema Mwaisabula.
Kwa upande wake Kocha Mkuu wa Simba Milovan
Cirkovic alisema mechi hiyo itakuwa kipimo kizuri
kwa wachezaji wake wapya kwani ataweza kubaini
mapungufu katika kikosi chake.
"Ni mechi nzuri ambayo naimani kabisa
itaniwezesha kujua mapungufu katika kikosi
changu, hivyo nawataka wachezaji wangu waitumie
vizuri kwani ninafasi nyingine kwao katika
kutafuta namba katika kikosi cha kwanza," alisema
Milovan.
Alisema wakicheza mechi hiyo atatafuta mechi
nyingine zaidi ili aweze kukipika vizuri kikosi
chake, kwani katika michuano ya Kombe la  Kagame
aligundua mapungufu mengi.

Rihanna ATOA MACHOZI , ANASEMA AMEPOTEZA RAFIKI WA KWELI (Chris Brown) - Oprah's Next Chapte



Rihanna had a very difficult time discussing her ex-boyfriend Chris Brown and his 2009 assault on her during a new interview with Oprah Winfrey.

Rihanna becomes very emotional while describing how despite how angry she was at Brown for hitting her, she still felt protective of him.

"I lost my best friend," Rihanna said. "Everything I knew switched in a night and I couldn't control that. I had to deal with that and it's not east for me to understand on interpret. And it's not east to interpret on camera. Not with the world watching."


The singer goes on to explain how confused and devastated she was.

"It was hard for me to even pay attention to my mind and figuring things out because now I became a circus," she explains. "And I felt protective [of Brown]. I felt like the only person they hate right now is him. It was a weird, confusing space to be in. Because as angry as I was, as angry and hurt and betrayed, I just felt like he made that mistake because he needed help ... and who's going to help him? Nobody's going to say he needs help. Everybody's going to say he's a monster without looking at the source. And I was more concerned about him." 

PICHA ROBIN VAN PERSIE AKIWASILI OLD TRAFFORD

United iliipata saini ya mchezaji huyo jana usiku, baada ya Arsenal kukubali kumuuza Van Persie wapinzani wao wa taji la Ligi Kuu kwa pauni Milioni 24.
Baada ya wiki kadhaa za majadiliano na Arsenal na mshambuliaji huyo wa Uholanzi, United imewapiku Manchester City na Juventus mbi za kuwania saini ya Van Persie mwenye umri wa miaka 29 na leo atafanyiwa vipimo vya afya Old Trafford. Photo: VAN PERSIE NDO HUYO AMEKWENDA OT.
Wangapi wanafurahia usajil huu ,kwa man untd?

Like==tag =tag tag tag tag tag tag tag tag tag tag tag tag tag tag

Aug 14, 2012

JACKIE CHAN KUWASIRI KENYA WEEK HII


Jackie Chan

 Yao Ming

Muigizaji kutoka China anayekwenda kwa jina la Jackie Chan ni miongoni mwa Celebrities wa Kichina anayetarajiwa kuwasili nchini Kenya week hii. Jackie ataongozana na mcheza kikapu Yao Ming. The two are said to be coming into town to shoot a massive campaign for Chinese television.
Campaign hiyo imejikita zaidi katika maswala ya kuzuia ununuaji wa Pembe za Ndovu na Vifaru kutoka Kenya na kupelekwa nchini China kuuzwa.
Kwa upande mwingine  Yao Ming, ni professional basketball player aliyestaafu kucheza kikapu kutoka China, anakumbukwa sana kwani kabla ya kustaafu aliyeichezea Houston Rockets of the National Basketball Association (NBA). Na katika msimu wake wa mwisho ndio alikuwa mchezaji Kikapu mlefu katika ligi ya NBA.

 story:baabkubwa magazine

T.I. - Go Get It [Official Music Video Teaser]


T.I. releases a video teaser for his new single "Go Get It." The song is one of many the Grand Hustle boss has dropped in the last couple of months as he gears up for the release his eighth studio album Trouble Man.

Produced by T-Minus



OLYMIPIKI;BAADA YA WACAMEROON SABA KUTOROKA ,HATIMAYE WACONGO WANNE HAWAJULIKANI WALIPO

A U.N.-run radio station in CONGO says four members from the country's Olympic delegation have gone missing in London.
The station reported Monday that judo athlete Cedric Mandembo disappeared after the closing ceremony, and has not been reachable on his mobile phone. He lost his match after 49 seconds.
Authorities tell the radio station that the Congolese athlete left the Olympic village with his baggage without saying where he was going.
The others who have gone missing are two officials with the boxing and judo teams, and a national athletic official.
Already at least seven Cameroonian athletes have failed to return home after the games.
Congo has suffered decades of dictatorship and war and remains mired in poverty despite its mineral riches.

75% YA WANAWAKE HAWAPENDI KUOLEWA NA WANAUME WASIO NA KAZI

Would you marry someone who was unemployed? What if you yourself were unemployed? If you answered "no" to those questions, you're not alone.
Seventy-five percent of women wouldn't hitch themselves to someone who was unemployed, and 65% wouldn't tie the knot if they were jobless, according to a recent survey.
With the recent unemployment rate up to 9.1 percent, joblessness is an increasingly pervasive issue—especially for women as they consider the fiscal and emotional stability of their romantic future. From money woes to resentment, joblessness can create great strain on relationships. Before women enter into a lifetime commitment, they want to feel secure in what their partner can bring to the table."
Although having a job is important, more than 91 percent of single women saying they would marry for love over money.
It is ironic that women place more weight on love than money, yet won't marry if they or their potential suitor is unemployed, A job can make or break the longevity of a relationship and the results of the survey demonstrate just what an important role careers play in romance.
The Career and Love survey also found:
  • Sleepless Nights: 40 percent of women in a relationship said their job responsibilities were most likely to keep them up at night, while job responsibilities and love life tied as the two factors most likely to keep single women awake.
  • Money Makes the World Go 'Round: 32 percent of women in a relationship make more money than their partner. 50 percent of women would marry someone who earned significantly less than them, while 41 percent wouldn't marry someone who earned significantly less than them.
  • Career vs. Kids: 55 percent would give up their career to take care of kids if their partner asked them to do so; only 28 percent would ask the same of their partner.
  • Me Time: If women could find an extra hour in each day, 42 percent would spend it by themselves, as opposed to with their partner, friends or family or on work.
  • Living the Dream: 77 percent of women believe women can simultaneously have a fulfilling relationship and family life, as well as a successful career.
Other surprising findings:
Single Women Vs Married Women
1. Married women are more likely than singletons to give up their career if their partner asked them to:

  • 59 percent of married women say they would give up their career to run the household, compared with only 19 percent of single women
  • 69 percent of married women would give up their career to support a partner's career, compared with 59 percent of single women
  • 58 percent of married women would give up their career to take care of kids, compared with 53 percent of single women
2. While 77 percent of women believe a woman can "have it all" (have a fulfilling relationship, family life, and successful career all at once), most aren't living the dream: only 43 percent of women say their work/life balance is about where they want it to be; 47 percent would like to devote less time to work, and 10 percent want to spend more time at work. Surprisingly, single women are more likely to think their career interferes with their love life: 43 percent of singletons say their career negatively affects their love life, while only 36 percent of married women said the same.
 
Women Over 35 Vs Women Under 35
1. Older women are less willing to marry someone who makes less money than them. Forty percent of women under 35 said they wouldn't marry someone who brought home less money; 45 percent of women over 35 said the same.

2. Older women are more likely than younger women to give up their career if their partner asked them to:
  • 24 percent of women under 35 would give up their career to run the household, compared with 36 percent of women over 35
  • 61 percent of women under 35 would give up their career to support a partner's career, compared with 69 percent of women over 35
  • 54 percent of women under 35 would give up their career to take care of kids, compared with 57 percent of women over 35
3. Younger women are twice as likely to care about the cachet of their partner's career: 36 percent of women under 35 said the prestige of their partner's career was important, vs. 18 percent of women over 35.

HELICOPTER ILIYOPOTEA NCHINI UGANDA YAKUTWA KENYA

The wreckage of two Ugandan helicopters that went missing on Sunday has been found in a remote area of Kenya, a Kenyan army spokesman has said.

The fate of those on board - believed to be 14 people - is unknown, Col Cyrus Oguna said. Both aircrafts were part of a contingent being sent to reinforce the African Union (AU) force in Somalia. A third helicopter on the same mission made an emergency landing in Mount Kenya on Sunday. Its passengers have been rescued. Only one of the four Russian-made helicopters en route to Somalia had made a scheduled refuelling stop on Sunday in the Kenyan town of Garissa.


The wreckage of the two missing helicopters was spotted on Mount Kenya - at 5,199 metres (17,057 feet) - by wildlife officers. A Kenyan army team is on the way to the site of the crash. One helicopter has been completely destroyed and the other partially, Oguna said.
photo
The combat helicopters came down as they were flying from Uganda to Somalia to take part in an AU-led offensive to capture the port city of Kismayo from the militant Islamist group al-Shabab, correspondents say.

Ugandan troops form the bulk of the nearly 17,000-strong AU force in Somalia, where they are supporting the UN-backed government.

photo

UGUNDUZI WA NYOKA '' UMBO LA SEHEMU ZA SIRI ZA MWANAUME

photo
 
According to The Sun, biologists came across the Atretochoana eiselti, which they’ve dubbed the ‘floppy snake’ while examining a hydroelectric dam on a river in the Amazon.
The creature is eyeless and from a family of ‘blind snake’ closely related to the salamander. Six of the snakes were found living at the bottom of the Madeira River in the northern state of Rondonia in Brazil…
…and it looks like something a lot of you ladies will like. Looks so familiar.

Aug 1, 2012

PAKA WAWILI WALIOGEUZWA SIMBA.mpg

RIHANNA NA DRAKE WAONGOZA NOMINATIONS ZA MTV VIDEO MUSIC AWARDS 2012


Rihanna na Drake waongoza nominations za MTV Video Music Awards 2012

Rihanna na Drake wameongoza kwenye nominations za VMA 2012.
Beyoncé na Frank Ocean wametajwa kwenye vipengele vitatu.
Tuzo hizo zitatolewa September 6 kwenye ukumbi wa Staples Center jijini Los Angeles.
List iko hivi:

Video of the Year
Katy Perry, “Wide Awake”
Gotye, “Somebody That I Used To Know”
Rihanna, “We Found Love”
Drake feat. Rihanna, “Take Care”
M.I.A., “Bad Girls”

Best New Artist
Fun. feat. Janelle Monae, “We Are Young”
Carly Rae Jepsen, “Call Me Maybe”
Frank Ocean, “Swim Good”
One Direction, “What Makes You Beautiful”
The Wanted, “Glad You Came”

Best Hip-Hop Video
Childish Gambino, “Heartbeat”
Drake feat. Lil Wayne, “HYFR”
Kanye West feat. Pusha T, Big Sean & 2 Chainz, “Mercy”
Watch the Throne, “Paris”
Nicki Minaj feat. 2 Chainz, “Beez in the Trap”

Best Male Video
Justin Bieber, “Boyfriend”
Frank Ocean, “Swim Good”
Drake feat. Rihanna, “Take Care”
Chris Brown, “Turn Up the Music”
Usher, “Climax”

Best Female Video
Rihanna, “We Found Love”
Katy Perry, “Part of Me”
Beyoncé, “Love on Top”
Nicki Minaj, “Starships”
Selena Gomez & The Scene, “Love You Like a Love Song”

Best Pop Video
One Direction, “What Makes You Beautiful”
Fun. feat. Janelle Monae, “We Are Young”
Rihanna, “We Found Love”
Justin Bieber, “Boyfriend”
Maroon 5 feat. Wiz Khalifa, “Payphone”

Best Rock Video
Coldplay, “Paradise”
The Black Keys, “Lonely Boy”
Linkin Park, “BURN IT DOWN”
Jack White, “Sixteen Saltines”
Imagine Dragons, “It’s Time”

Best Electronic Dance Music Video
Duck Sauce, “Big Bad Wolf”
Calvin Harris, “Feel So Close”
Skrillex, “First of the Year (Equinox)”
Martin Solveig, “The Night Out”
Avicii, “Le7els”

Best Video with a Message
Demi Lovato, “Skyscraper”
Rise Against, “Ballad of Hollis Brown”
Kelly Clarkson, “Dark Side”
Gym Class Heroes, “The Fighter”
K’Naan feat. Nelly Furtado, “Is Anybody Out There?”
Lil Wayne, “How to Love”

Best Art Direction
Katy Perry, “Wide Awake”
Drake feat. Rihanna, “Take Care”
Lana Del Rey, “Born to Die”
Regina Spektor, “All the Rowboats”
Of Monsters & Men, “Little Talks”

Best Choreography
Chris Brown, “Turn Up the Music”
Rihanna, “Where Have You Been”
Beyoncé, “Countdown”
Avicii, “Le7els”
Jennifer Lopez f/Pitbull, “Dance Again”

Best Cinematography
M.I.A., “Bad Girls”
Adele, “Someone Like You”
Drake feat. Rihanna, “Take Care”
Coldplay feat. Rihanna, “Princess of China”
Lana Del Rey, “Born to Die”

Best Direction
M.I.A., “Bad Girls”
Duck Sauce, “Big Bad Wolf”
Coldplay feat. Rihanna, “Princess of China”
Frank Ocean, “Swim Good”
Watch the Throne, “Otis”

Best Editing
Beyoncé, “Countdown”
A$AP Rocky, “Goldie”
Gotye, “Somebody That I Used to Know”
Watch the Throne, “Paris”
Kanye West feat. Pusha T, Big Sean and 2 Chainz, “Mercy”

Best Visual Effects
Katy Perry, “Wide Awake”
Rihanna, “Where Have You Been”
David Guetta feat. Nicki Minaj, “Turn Me On”
Linkin Park, “BURN IT DOWN”

BARNABA, 2FACE,CABO SNOOP,FALLY IPUPA NDANI YA JUKWAA MOJA KATIKA AFRICA UNPLUGGED CONCERT YA LONDON MWEZI HUU


Barnaba kutumbuiza kwenye Africa Unplugged Concert ya London mwezi huu

Mwezi huu msanii wa THT Barnaba atapanda kwenye tamasha kubwa la wasanii wa Afrika kuwahi kutokea mjini London, Uingereza lililopewa jina la Africa Unplugged Concert.
Kenya na Uganda zitawakilishwa na Madtraxx pamoja na Jose Chameleone.
Tamasha hilo lililopewa sifa kama THE LARGEST AFRICAN CONCERT IN EUROPE...EVER litafanyika kwenye uwanja wa Wembley,  August the 27 kuanzia saa 6:00 muda wa huko.
Wasanii wengine watakaotumbuiza ni 2Face (Nigeria) | Zahara (South Africa) |Cabo Snoop (Angola) | Fally Ipupa (Congo) | R2bees (Ghana) | Sarkodie (Ghana) | Flavour (Nigeria) | DJ Arafat (Ivory Coast) | Iyanya (Nigeria) | Zakes Bantwini (South Africa) |  Winky D (Zimbabwe) | Mc Inity (Zimbabwe)
Sehemu ya mapato ya tamasha hilo yatatumika kuwasaidia watoto walioathirika na vita nchini DRC.
Tiketi zinauzwa paundi 25.

50 CENTS & KANYE WEST WAKUTANA USO KWA USO NA MIKE TYSON



Kanye West and 50 Cent ran into each other at the Broadway premiere of Mike Tyson: Undisputed Truth on Tuesday night in New York City. The two hip-hop heavyweights posed for photos with the boxing legend and play’s director Spike Lee, backstage of the Longacre Theatre. 50 took to Twitter this morning and praised Iron Mike’s autobiographical show.
“Man mike show was so good you have to see it. Spike lee did a amazing job. I was crying he was so funny.if your not a regular broadway play fan you still have to go see it. The show was sold out there wasn’t one empty seat. I had a great time you have to see this I can’t explain it. It’s call THE UNDISPUTED TRUTH check it out.”

photo:kim kardashian and kanye west went on a "wild vacation"



Kim Kardashian and Kanye West just went on a "Wild" vacation -- with "Girls Gone Wild" head honcho Joe Francis.

The trio recently returned from a trip Francis hosted at his amazing pad in Mexico and Joe was nice enough to share some photos of the tropical getaway on his official website.

According to the site, "the couple relaxed poolside before hitting the ocean and ripping through the waves on jet skis launched from a gorgeous white sand beach."

The group also did a zip line tour through the jungle -- where Kim showed off some major cleavage in a black tank top.

Joe also hosted a big dinner for his guests, which also included Mario Lopez.

NGASSA ATUA SIMBA SC KWA MILLIONI 25


Ngassa sasa wa Azam

Na Mahmoud Zubeiry
MRISHO Khalfan Ngassa ameuzwa Simba kwa dau la Sh. Milioni 25 mchana wa leo, Azam imethibitisha.
Habari za ndani kutoka Azam, ambazo BIN ZUBEIRY imezipata kutoka klabu hiyo, zimesema kwamba Simba wamelipa fedha hizo na wamesainiwa fomu za uhamisho na sasa Mrisho anafuata nyayo za baba yake Khalfan Ngassa, ambaye aliichezea Simba SC 1991/1992.
Azam ilifikia uamuzi wa kumuuza Ngassa, baada ya mchezaji huyo iliyemsajili kutoka Yanga miaka miwili iliyopita, kubusu jezi ya Yanga baada ya kufunga bao la pili katika Nusu Fainali ya Klabu Bingwa Afrika Mashariki na Kati, Kombe la Kagame, dhidi ya AS Vita ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC).
Na uamuzi huo, ni wa mzee Said Salim Bakhresa mwenyewe, ambaye alikerwa na kitendo hicho akawaagiza wanawe, Wakurugenzi wa bodi ya timu wamuuze mchezaji huyo popote, haraka iwezekanavyo.
Ngassa alikuwa amebakiza mwaka mmoja katika mkataba wake aliosaini na Azam FC, akitokea Yanga miaka miwili iliyoipita kwa dau la Sh. Milioni 55, lakini wasiwasi unakuja kwamba, Ngassa ana mapenzi na Yanga na kwa Simba kumsajili, kuna hatari yaliyotokea akiwa Azam, yatajirudia hata akiwa kwa Wekundu wa Msimbazi.
Mapema leo mchana, Stewart Hall, kocha Muingereza wa Azam FC jana alifukuzwa  katika klabu hiyo kwa kosa la kukaidi maagizo ya Bodi ya Ukurugenzi ya klabu hiyo, kumpanga Mrisho katika mechi ya fainali ya Klabu Bingwa Afrika Mashariki na Kati, Kombe la Kagame.
Habari ambazo BIN ZUBEIRY ilizipata kutoka ndani ya Azam, zilisema kwamba kikao cha jana cha pamoja baina ya Bodi ya Ukurugenzi ya Azam FC, Mwanasheria wa kampuni na kocha Stewart kimeafiki kuvunja ndoa hiyo na sasa Azam FC itakuwa chini ya kocha kutoka India, Vivek Nagul ambaye alikuwa anafundisha timu ya vijana.
Habari zinasema kwamba, mapema baada ya mechi ya Nusu Fainali ya Kagame, kati ya Azam na AS Vita ya DRC, Stewart aliitwa na kuambiwa asimtumie tena Ngassa kwa kitendo cha mchezaji huyo kwenda kuibusu na kuivaa jezi ya Yanga, baada ya kufunga bao la ushindi.
Lakini Stewart katika kikao hicho, kwanza alimtetea Ngassa kutokana na kufunga bao la ushindi na kumuelezea kama mchezaji muhimu kwake, lakini msimamo wa bodi ulikuwa ni asipangwe tena.
Katika fainali, Stewart alimvalisha jezi Ngassa akamuanzishia benchi, lakini kama ilivyokuwa kwenye Nusu Fainali alimuingiza kipindi cha pili timu ikiwa nyuma kwa 1-0 na mwisho wa mchezo ikashinda 2-1 yeye akifunga la pili, dhidi ya Yanga pia alimuingiza timu ikiwa nyuma kwa 1-0.
Lakini Ngassa alishindwa kurudia kile alichofanya kwenye mechi na AS Vita na Yanga ikashinda 2-0.
Ngassa akisalimia mashabiki wa Yanga baada ya kufunga bao la pili dhidi ya AS Vita
Mbali na Ngassa, kiungo Salum Abubakar ‘Sure Boy’ pia yuko katika wakati mgumu na jana inadaiwa alionekana akilia wakati anazungumza na kiongozi mmoja wa Azam, akiuliza ni lipi kosa lake.
Sure Boy, ambaye ni mtoto wa kocha wa timu ya vijana ya Yanga, Abubakar Salum ‘Sure Boy’ jana hajafanya mazoezi na leo pia, naye pia akituhumiwa kucheza kinazi katika mechi dhidi ya Yanga.
Stewart anakuwa kocha wa nne ndani ya miaka minne kufukuzwa Azam, tangu Neider dos Santos, Sylvester Marsh na Itamar Amorin, Mbrazil mwingine.
Lakini ni Stewart angalau anaacha kumbukumbu ya taji na Medali Azam, baada ya kuiwezesha kutwaa Kombe la Mapinduzi Januari, kushika nafasi ya pili katika Ligi Kuu Aprili, kabla ya kushika nafasi ya pili Kombe la Urafiki na Kagame mwezi uliopita.