Sep 13, 2012

yaliyojiri facebook

HUYU NDO ACTRESS WA KIMATAIFA WA TANZANIA LOL :)
Bongo movie is getting wings right now na ku-cross boarders to international levels.
Baada ya marehemu Steven Kanumba kufungua njia now ni zamu ya mwanadada Lucy Komba. According to reports doing rounds in entertainment scene ni kwamba mwanadada huyo ameingia makubalino na aliyekuwa International manager wa The late Kanumba, Mr.Richard Nwaobi, who’s also a manager to Rose Ndauka.

Few months back Lucy jetted to Ghana ambapo alienda kushoot movie ambayo ilikuwa imepangwa arekodi na Kanumba.

Confirming the news to BK, Lucy said: “Nilivyoenda Ghana nikapata nafasi ya kufanya movie nyingine nchini Searra Leone, movie yenyewe imeshakamilika na wana-plan ya kuifanyia uzinduzi kwenye nchi zote ambazo washiriki wanatoka. Movie inaitwa Repackage live. So nimefanya movie mbili, moja imeshakalika na nyingine bado wanatafuta mbadala wa Steven Kanumba”.

Lucy Komba pia amefanya appearance kwenye famous film magazine in Africa, ambayo imewa-feature mastaa kama Van Vicker, Ini Edo na wengine kibao. Kutoka Bongo walihusishwa Steven Kanumba na Lucy Komba tu.

“All publicity inasababishwa na manager wangu Mr Richard Nwaobi, magazine inaitwa Filmbiz. Inasambazwa Africa nzima na Ulaya. Content yake is all about African movies na mastaa wake, wameniuliza mengi kuhusu Bongomovie and I belive watakuja kufanya na mastaa wengine pia”- Lucy Komba.

macaulay culkin: depressed,sad and lonely?

Macaulay Culkin may not be on drugs, but he is not doing so hot. A friend describes him as depressed, sad, lonely and attempting to recapture his childhood.
Weeks after the National Enquirer called Macaulay Culkin a heroin addict and said he was at death's door, reports say the Home Alone star is very depressed.
An insider close to Culkin says he is not doing well and has been attempting to relive his childhood and has been engaging in increasingly strange behavior.
Macaulay Culkin Photo
That includes hosting costume parties where guests are invited to come dressed as a movie character or dinosaur. "He likes to live as a child," says the source.
"Growing up has not been good to Macaulay."
A former colleague says Culkin is a "sad and lonely figure," and attributes his depression to his inability to land roles in recent years; he last acted in 2010.
The actor denies he's on drugs, but the Enquirer stood by its initial shocking story and encouraged the 32-year-old actor to seek help for his problems.
In February, his reps also denied allegations that the actor was gravely ill after gaunt photos of Culkin emerged. He looks healthier in recent months, though.
In fact, Culkin has been working on several paintings which he'll be exhibiting this week, and has been using his New York apartment as a studio. So that's good.
Here's hoping these are just rumors and that Mac is back and better than ever.
[Photo: WENN.com]

H.Baba ft Pasha - Thamani Yetu {Official Video}


 Follow @mwendapole1 on Twitter!
Like us on Facebook!

JOH-MAKINI MANUVA-DEMO

 
Follow @mwendapole1 on Twitter!
Like us on Facebook!

Sep 12, 2012

Diamond-Mawazo Liveshow (Malindi Kenya)



 Follow @mwendapole1 on Twitter!
Like us on Facebook!

Ommy Dimples - Baadae.mp4





 Follow @mwendapole1 on Twitter!
Like us on Facebook!

Queens Park Rangers defender Anton Ferdinand is ready to refuse to shake hands with Ashley Cole before saturday game

Queens Park Rangers defender Anton Ferdinand is ready to refuse to shake hands with Ashley Cole before Saturday’s game against  Chelsea at Loftus Road.
And in another twist, Ferdinand’s older brother Rio is considering a similar snub to his former England team-mate when Manchester United face Chelsea on October 28.
The Ferdinands believe they were betrayed by Cole when he agreed to speak as a defence witness for John Terry in his successful court battle against the charge that he racially abused Anton last season.
Rio Ferdinand Anton Ferdinand

Brothers in arms: Rio (left) and Anton Ferdinand are set to snub Ashley Cole
Centre back Anton will hold talks with QPR manager Mark Hughes on Thursday as the club gauge the player’s state of mind ahead of the potentially explosive London derby.
Terry was charged with racially abusing Anton during the Barclays Premier League match between QPR and Chelsea on October 23. Cole’s decision to support Terry’s defence bemused Anton because the pair had been friends.
Chelsea captain Terry, who was stripped of the England armband by the FA before his trial, was acquitted at Westminster Magistrates Court on July 13 but is now facing an FA  investigation into the comments he aimed at Anton on the pitch.
Anton, Terry and Cole will come face to face for the first time since the court battle on Saturday and QPR could make an official request for the pre-match handshake to be scrapped. The Premier League, though, are adamant it will go ahead, despite the prospect of a flashpoint.
John TerryAshley Cole
Write caption here
 
Cole and Terry have ankle injuries, so the issue could be dodged for a third time. The first meeting between QPR and Chelsea after Anton’s  accusation against Terry was an  FA Cup fourth-round tie on January 28 — but the FA cancelled the handshake after it emerged the whole Rangers side would snub Terry.
Similarly, the Premier League ditched the pre-match ritual ahead of the Chelsea-QPR match on April 29 at the request of Ferdinand and Terry’s representatives.
Whatever happens this weekend, the matter will be reignited next month ahead of Manchester United’s visit to Chelsea. 
Rio shares his brother’s antipathy towards Cole since the trial and the Manchester United defender seemingly endorsed a tweet referring to the left back as a ‘choc ice’ — a term with clear racial connotations. 
Rio was found guilty of improper conduct and hit with a £45,000 fine by the FA.
Now the centre half is considering whether he will shake hands with Cole when United travel to Stamford Bridge on October 28.
Bad blood: John Terry and Anton Ferdinand clashed last season
Bad blood: John Terry and Anton Ferdinand clashed last season
Previously, Wayne Bridge refused to shake hands with Terry at Stamford Bridge in 2010 after it emerged Terry had been having an affair with his former team-mate’s ex-girlfriend Vanessa Perroncel.
Liverpool’s Luis Suarez snubbed Patrice Evra of Manchester United at Old Trafford in February. The striker had been banned for eight games for racially abusing Evra at Anfield in October last year.

HABARI KUBWA MAGAZETI YA LEO ,TANZANIA

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.
.

.

.


.
.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.
 
        chanzo:MillardAyo.com.
  Follow @mwendapole1 on Twitter!
Like us on Facebook!

mshahara wa shomary kapombe , ni sawa na juma kaseja


Kapombe kulia akiwa amebeba Ngao aliitolea jasho la kutosha tu juzi, Kushoto ni Meneja Vifaa vya michezo wa Simba, Kessy Kaburu

 
      KIRAKA Shomary Kapombe anapigiwa debe aongezewe mshahara kutoka Sh, 800,000 anazolipwa sasa hadi Sh, Milioni 1, sawa na mastaa wengine wa Simba, mfano Juma Kaseja na Mwinyi Kazimoto, ambao wote hawafui dafu kwa Mrisho Ngassa anayelipwa Sh. Milioni 2.
     kupitia mtandao wa BIN ZUBEIRY  umeripoti kuwa taarifa imezipata zinasema kwamba, Kapombe aliongezewa mshahara kutoka Sh. 400,000 baada ya beki Kevin Yondan kutimkia Yanga na miezi mitatu badaaye, yuko kwenye nafasi ya kuongezewa 200,000 zaidi.
       Hata akipewa Milioni 1, bado Kapombe hatawafikia mabeki wa kigeni Komabil Keita na Paschal Ochieng ambao bila kupepesa macho, wote hawamfikii kwa uwezo wa kazi uwanjani.
Kapombe amekuwa akiibeba mno Simba katika mechi za karibuni na ushindi wa Ngao ya Jamii juzi, mabao 3-2 dhidi ya Azam FC, kwenye Uwanja wa Taifa, Dar e s Salaam mchezaji huyo alifanya kazi kubwa mno.
         Kapombe anaweza kucheza beki ya kulia, beki wa kati na nafasi yoyote ya kiungo kuanzia ukabaji, pembeni na katikati.
Siyo tu soka anaijua, bali pia Kapombe hujituma uwanjani, ingawa siku zote ukikutana naye nje ya Uwanja ni kijana mpole na mtiifu. Kapombe si tegemeo kwa Simba SC tu, bali hata timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars.
       Huwezi amini, Mwanamichezo huyo bora wa TASWA ndio kwanza anaingia katika msimu wake wa pili Simba SC tangu asajiliwe kutoka Polisi Morogoro, wakati huo ikiwa Daraja la Kwanza. 
 Follow @mwendapole1 on Twitter!
Like us on Facebook!