Dec 29, 2011

THIERRY HENRY MKATABA WA MIEZI MIWILI NA ARSENAL

Mchezaji wa sasa wa club ya  NEW YORK BULLS  strike THIERRY HENRY mwenye umri wa miaka 34 yupo kwenye mkubaliano(majadiliano) ya kuichezea ARSENAL kwa miezi miwili kwa mkopo hapo january.
THIERRY HENRY amekuwa akifanya mazoezi na wachezaj wa club ya arsenal siku za hiv karibuni ,na kupelekea kuonyesha kiwango kizur ambacho kinawashawishi management ya club ya arsenal kumrudisha kambini hiyo january.

WENGER atakuwa anakubwa na tatizo la uhaba wa washambuliaji kuanzia mwaka ujao yaan 2012 ambapo washambuliaj baadhi kama MAROUANE CHAMAKH na GERVINHO watakuwa katika nchizao wakishiriki AFRICAN CUP OF NATIONS mwezi ujao,hvyo watamwach ROBIN VAN PERSIE na mshambuliaj asiyetumainiwa sana na mashabiki wa Arsenal PARK CHU-YOUNG.
  Chu-young amejiunga na Arsenal mwezi August lakini bado hajaonesha cheche zake katika premier league hadi sasa.
      HENRY ambaye aliiacha club y arsenal na kwenda kucheza mpira hispania katika club ya barcelona mnamo mwaka wa 2007,anaweza kuisaidia club ya arsenal katika michezo saba inakuja ikiwa makubaliano pande hzo mbili yataenda sawa kama yalivyopangwa,bila kusahau FA na champion league ,
ARSENAL wataitajka kumlipa HENRY kiasi cha dola 70,000 kwa week.


No comments:

Post a Comment