Dec 14, 2011

TUTAMKUMBUKA MR EBBO

NI msanii wa bongo ambaye jina lake la asili ni Abel Loshilaa Motika, aka Mr Ebbo, amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 37.mr ebbo alilanzwa katika hospitali ya Mission Usa River ambapo alikuwa akipatiwa matibabu ya ugonjwa uliokuwa ukimsumbua hadi hapo mahuti yalipomfika.
MR EBBO ametoa nyimbo mbalimbali na album wakaza wakaza ambazo ni:

 
Albums by Mr Ebbo
Fahari Yako- 2002
Bado- 2003
Kazi Gani- 2004
Alibamu- 2005
Kamongo -2006
tunakukumbuka kwa mchango wako katika tasnia nzima ya kuinua na kuendeleza mziki wa kizazi kipya.
mungu ailaze roho ya marehemu mahal pema peponi,AMIN.

No comments:

Post a Comment