Dec 19, 2011

KAFULILA afukuzwa NCCR-MAGEUZI

Chama cha NCCR-MAGEUZI  kimemfukuza Uanachama mbuge wa kigoma kusini, ndugu DAVID KAFULILA na wajumbe wengine wapatao sita bila kumsahau mgombea urais wa chama hicho  ambaye alishiliki katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2010, bwana HASHIM RUNGWE. Maamuzi haya yalifanyika katika ukubwi wa halamshauri  kuu ya chama hicho ambapo katika mkutano huo kulitawaliwa na vurugu na fujo hali iliyopelekea chombo cha ulinzi na usalama kuingila kati(polisi).





Hata hivyo mara baada ya kutangazwa kwa ndugu kafulila kutolewa katiak chama , alikwenda kupiga magoti mbele ya mwenyekiti wa chama hicho, JAMES MBATIA huku akibubujikwa na machozi ,na kuomba radhi  huku akisema "Naomba  radhi , nmekosa mnisamehe.

No comments:

Post a Comment