Apr 23, 2012

Hotuba ya Mwalimu Nyerere, Mkutano Mkuu wa CCM Dodoma - 1995

                    NUKUU YA LEO

Unajua mtoto anapokaidi mafundisho au maagizo ya baba au mama yake tena ambao ndo mungu wao wapili hapa duniani... Matokeo yake ni mabaya sana kwa mtoto au kijana huyo!! Mwalimu kama baba wa taifa hili alisha maliza kazi yake kazi kwa watoto kutii maandiko. Hata baadhi ya vitabu vitakatifu vimeandikwa mf. Watoto wangu munaangamia kwa kukosa maarifa. Jamani CCM fungukeni macho.

No comments:

Post a Comment