May 17, 2012

SOMA TUKIO ZIMA LA KIFO CHA MAFISANGO,PICHA.



 Ramadhabni Wasso akiwa na huzuni.
 Beki wa zamani wa klabu ya Simba, Ramadhani Ramadhani Wasso akiwa akiwa na huzuni baada ya kufika katika 
chumba cha kuhifadhia maiti asubuhi hii.
 Mshambul;iaji wa Simba Haruna Moshi 'Boban' akiingia 
katika chumba cha kuhifadhia maiti asubuhi hii kuangalia 
mwili wa mshambuliaji wa Simba Patrick Mafisango aliyefariki kwa ajali ya gari.
 Bobani akiwa na Said Kokoo
  Ramadhani Wasso akijaribu kuchungulia kupitia mlango kuangalia 
mwili wa Patrick Mafisango kupitia uliokuwa umehifadhiwa katika
 chumba cha maiti asubuhi hii.
  Gari lilosababisha kifo cha Mshambuliaji wa kimataifa wa 
mabigwa wa soka Tanzania na Bara Simba SC,Patrick Mutesa 
Mafisango Leo Alfajiri Picha na Mdau Francis Dande-Muhimbili na 
kwa hisani ya Haki Ngowi Blog

No comments:

Post a Comment