Feb 3, 2012

MAHAFALI YAGEUKA KUWA KILIO TANGA

Mahafali ya Shule ya wasichana ya Korogwe Sekondari mkoani Tanga yamegeuka kilio baada ya wanafunzi saba kugongwa na mwenzao aliyekuwa na gari .Wakimbizwa hospital kwa ajili ya matibabu zaidi.ni mahafali ya kidato cha sita.

No comments:

Post a Comment