Apr 24, 2012

AY AMETHIBITISHA KUFANYA VIDEO YA KIWANGO CHA JUU HUKO AFRIKA KUSINI

AY
Nyota wa muziki Tanzania Ambwene Yesaya AY, amethibitisha kuwa atafanya video ya kiwango cha hali ya juu huko Afrika Kusini kati ya mwezi ujao kwa kollabo yake kali ambayo ameifanya na mtayarishaji muziki Marco Chali kutoka hapa hapa Tanzania.


AY amesema kuwa video hii itaongozwa,upigajipicha na marekebisho hadi kukamilika na kampuni maarufu ya Godfather ambayo pia ndio imehusika vilivyo katika kutengeneza video kali za wasanii wakali kama vile P Square na Mr Flavour kutoka Nigeria
Na marygoreth
.

No comments:

Post a Comment