Dec 16, 2011

ANTiVIRUS DAWA YA Virus WA Hiphop in TanzaniaKAMA KWELI WE NI MKAZI WA ARUSHA...!JUMA PILI PALE TRIPPLE "A"

Usikose show ya kijanja na ya ukwel kwa wale wakazi wa ARUSHA na vitongoji vyake, ni wale wale wanaharakati wa mziki wa HIP HOP TANZANIA  ambao wanajulikana kama VINEGA
KAMA HUJUI MAANA YA NENO KINEGA....! kinega ni KIVUMISHI AMBACHO KINAMFANANISHA BINADAM NA NDEGE ANAYEITWA KINEGA,,NDEGE HUYU NI NDEGE AMBAYE HANA SIFA YA KUONEKANA OVYO,NA PIA HUWA ANAONEKANA JUU SANATOFAUTI NA NDEGE WA KAWAIDA,,PIA KUWA KINEGA HALI YA KING'ANG'ANIZI KWENYE JAMBO FLANI..!SO UKIMUONA KINEGA UJUE KUNA JAMBO...!    
so we kama ni shabiki  na mpenzi wa mziki hususani wakazi wa jiji la ARUSHA  mnaombwa kufika kwa wingi maeneo ya TRIPPLE ''A''  siku ya JUMAPILI kuanzia time ya saa 8 mpaka saa 6 usiku kwa kiingilio cha shillingi ELFU TANO TU:

No comments:

Post a Comment