Apr 18, 2012

DK JOHN MAKUFULI AZIDIWA GHAFLA

Habari zilizotufikia muda si mrefu zinaeleza kuwa waziri  wa ujenzi wa jamhuri  ya muungano wa Tanzania DK JOHN POMBE MAKUFULI amezidiwa ghafla huko DODOMA ambako taarifa zinasema kuwa dk makufuli amekimbizwa hospitali ,tukio hili limetokea wakati bunge la tisa likiendelea DODOMA.
  Kwa mujibu wa naibu spika bwana  JOB NDUGAI ameeleza ya kwamba DK makufuli alishikwa na homa kali hali iliyopelekea kukimbizwa GENERAL HOSPITAL ,DODOMA.
 

Na. mpekuzi

No comments:

Post a Comment