May 24, 2012

MTANGAZAJI WA CLOUDS FM LOVENESS aka DIVA CHINI YA LAMAR KUACHIA NGOMA(BONGO FLEVA)




Mtangazaji wa Clouds FM Loveness aka Diva anatarajia kujaribu bahati yake kwenye muziki wa Bongo Fleva kuona upande huo wananchi watampokeaje.

Diva ambaye hujiita ‘Mimi’ ni miongoni mwa watangazaji wanaozungumzwa zaidi nchini kwa mabaya  mengi na mazuri machache kutokana na aina ya utangazaji wake kwenye kipindi cha Ala za roho katika kituo hicho cha radio maarufu kwa burudani nchini kutokana na sifa yake ya kuongea mambo mazito ya kimapenzi bila kificho.

 Hizi ni baadhi za tweet
Diva aka mimi under xclusive muzik the lebal !soon to relize a hit song piga simu
Retweeted by
 
hey baby ,its 25th may 1988
My new song will be called Piga simu ft Diamond Platnumz .... Produced by Lamar
Working under fish Crab cooked out ,Lamar signed me. LOOL - money on ma mind. Whoop Whoop !!
Done wit Lamar .... Now we on the script of the video filmatic we be holding ya Diva down,Produced by Lamar#hit
Heading to lamar .... One more song :-) will be released next week , Diamond will Be the Perfect feature ! Stay tuned.
At Push Mobile , with DJ Nelly , business connect People.

No comments:

Post a Comment