May 24, 2012

MFANYAKAZI WA NDANI ALIYETUHUMIWA KUMUUA MTOTO

Mfanyakazi wa ndani anayetuhumiwa kumuua mtoto wa mwenye nyumba katika eneo la Sinza Mori akiwa amewekwa chini ya ulinzi na majirani wa eneo hilo. Kulia ni mtangazaji wa Clouds FM, Gea Habib. 

No comments:

Post a Comment