Jul 26, 2012

NEW SONG: NICKY MINAJ feat. DRAKE & LIL WAYNE — U.N.I.T.Y

  Back in April of 2011, Nicki Minaj lit up the stage a few familiar friends in Dallas on her Pink Friday U.S. Tour. Young Money commander in chief Lil Wayne and Drake joined the young raptress on stage for a lively set.

PICHA NA TUKIO ZIMA JOSE CHAMELEEONE AANDAMANA UBALOZI WA TAZANIA KUDAI PASSPOT YAKE KWA ERIC SHIGONGO

   Maandamano ya Jose Chameleone dhidi ya Shigongo ubalozi wa Tanzania nchini UgandaJose Chameleone akiweka kambi nje ya Ubalozi wa Tanzania UgandaJOSE CHAMELEONE NA WAANDAMAJI WAKIWA KWENYE UBALOZI WA TANZANIA
Maandamano ya Jose Chameleone dhidi ya Shigongo ubalozi wa Tanzania nchini Uganda POLISI WAKIWA WAMETANDA MAENEO YA UBALOZI
 202395_343347965742260_141587053_o
330722_343346755742381_210778494_o (1)202395_343347979075592_2096793101_o330722_343346749075715_277792291_oPICHA JOSE CHAMELEONE AKIWA NA BAGO UBALOZINI
 Maandamano ya Jose Chameleone dhidi ya Shigongo ubalozi wa Tanzania nchini Uganda

PERSONALITIES FLOOD SOCIAL MEDIA WITH MESSAGES FOR FALLEN ACTOR "GEORGE JEFFERSON"


Actor Sherman Hemsley was found dead in his El Paso, Texas home on Tuesday. The cause of death is pending. He is known as George Jefferson the lead man in the TV sitcom The Jeffersons - one of the longest running and most successful sitcoms. The Philadelphia-born Hemsley, who police said late Tuesday died at his home in El Paso, Texas, at age 74, first played George Jefferson on the CBS show “All in the Family” before he was spun off onto “The Jeffersons.” The sitcom ran for 11 seasons from 1975 to 1985. With the gospel-style theme song of “Movin’ On Up,” the hit show depicted the wealthy former neighbors of Archie and Edith Bunker in Queens as they made their way on New York’s Upper East Side. Hemsley and the Jeffersons (Isabel Sanford played his wife) often dealt with contemporary issues of racism, but more frequently reveled in the sitcom archetype of a short-tempered, opinionated patriarch trying, often unsuccessfully, to control his family. Here are some messages and condolences from personalities and celebrities all over the world.

















WASANII HAWA NDO WAKALI WA CHORUS TANZANIA 2010 -2012

 
kiukweli makala hii imekuwa nzuri sana, thanky kwa waandaji bila kumsahau mkubwa Fredrick Bundala aka Skywalker. Twitter: @skywizz. Email: skywalkertz@yahoo.com. 
kupitia makala hii imeonyesha wasanii waliofanya vizuri kwenye chorus na ngoma zilizowafanya wa HIT sana
WAFUATAO NI WASANII WALIOFANYA VIZURI KWENYE UPANDE WA CHORUS:
         NUMBER 5:STEVE RnB,kupitia nyimbo aliyoshirikishwa ni TABASAMU(MR blue), BABY(baby boy), TUPO JUU.na nyinginezo nyingi
               NUMBER 4:DULLY SYKES kupitia nyimbo kama ACTION(C Pwaa), MDANANDA(shetta), AMEEN na nyinginezo.
                            
            NUMBER 3:JUX kutoka kundi la  wakacha Kupitia nyimbo kama ALISEMA, NIVUMILIE ,SIRUDI TENA na nyinginezo 
 NUMBER 2: BEN POL kupitia ngoma kama NIPOKEE, SIKATI TAMAA, I GOT IT. TAFAKARI na nyinginezo
 
      NUMBER 1:BELLE 9 Ambaye ndo ameshika number moja , na imani hata wewe unaweza kukubaliana nami ki ukwel belle 9, japo kukosa Tuzo ameendelea kuwa ni msanii mwenye kujituma na  kuonesha wasanii wengine kuwa tuzo si kitu japo inamchango fulani fulani.  Kupitia ngoma kama 255, NIMECHOKWA, NAONGEA NA ROHO , YAMEBAKI MAZOEA na nyinginezo 
Kwa maelezo mazuri na ya kina fungua video hiyo na upate kujionea kwa kina zaidi
kwa upande wangu nimejitaidi japo kuorodhesha  wasanii hawa , kufahamu kuhusu vigezo vilvyotumika watch video hapo juu.
 kwa maelezo zaidi muone Fredrick Bundala aka Skywalker. Twitter: @skywizz. Email: skywalkertz@yahoo.com.

Busta Rhymes "King Tut" ft. Reek da Villian & J Doe Official (Explicit)

  Busta Rhymes up in the place true indeed. Bussa Bussa returns with a brand new video for "King Tut" featuring Reek da Villian & J Doe. The veteran MC is putting the finishing touches on his upcoming ninth studio album Year of the Dragon, which will be released later this year via Cash Money Records. 

NUSU FAINALI:JE WAJUA? YANGA ,AZAM ,APR ZIMETOKA WAPI?


Spider Man
Na Prince Akbar
MABINGWA watetezi wa Klabu Bingwa Afrika Mashariki na Kati, Kombe la Kagame, Yanga SC leo wanashuka Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam kumenyana na timu ya Jeshi la Rwanda, APR katika Nusu Fainali ya pili ya michuano hiyo kuanzia saa 10:00 jioni, mchezo ambao utatanguliwa na Nusu Fainali ya kwanza kati ya AS Vita ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) na Azam FC.
Yanga iliingia Nusu Fainali baada ya kuitoa Mafunzo ya Zanzibar kwa penalti 5-3, kufuatia sare ya 1-1 ndani ya dakika 90, wakati APR iliitoa URA ya Uganda kwa kuichapa mabao 2-1.
Nusu Fainali ya pili inayozikutanisha Azam FC iliyoitoa Simba kwa kuichapa 3-1 na AS Vita iliyoitoa Atletico ya Burundi kwa kuichapa 2-1, itaanza saa 8:00 mchana Uwanja huo huo wa Taifa.
Azam na Vita  nayo itakuwa mechi tamu, kwa sababu timu zote zinacheza soka ya kuvutia na zina wachezaji wenye vipaji- zaidi kila timu ina mshambuliaji anayewania ufungaji bora wa michuano hii.
Azam kuna John Raphael Bocco ‘Adebayor’ mwenye mabao manne akifungana na Hamisi Kiiza wa Yanga katika nafasi ya tatu, wakati Vita inaye kinara wa mabao katika Kagame ya 2012, Etikiama Taddy mwenye mabao sita, akifuatiwa na Said Bahanuzi ‘Spider Man’ wa Yanga mwenye mabao sita.
Akizungumzia mchezo dhidi ya APR, kocha wa Yanga, Tom Saintefiet alisema kwamba utakuwa mgumu kwa sababu timu hizo zitakuwa zinakutana mara ya pili, baada ya mechi ya awali ya kwenye Kundi lao, C ambayo Yanga ilishinda 2-0.
“Utakuwa mchezo mgumu, APR ni timu nzuri, wanacheza kwa ufundi, nguvu, lakini tunataka kushinda na tutakwenda kupigana ili kushinda,”alisema Tom.
John Bocco 'Adebayor'
Hata hivyo, Mbelgiji huyo alisema katika mchezo wa leo atawakosa kipa wake namba moja Yaw Berko na kiungo Nizar Khalfan ambao wote ni majeruhi. 
Mtakatifu Tom alisema kutokana na kucheza mechi mfululizo, wachezaji wengi wa Yanga wanalalamika maumivu, ila wako tayari kucheza na wana nia na dhamira ya kutetea Kombe.
Safu ya ushambuliaji ya APR inaweza kuongozwa na wakali wawili, Mrundi Suleiman Ndikumana na Olivier Karekezi ambao wote wana miili mikubwa ni hatari kweli sambamba na kiungo mshambuliaji, Mganda Danny Wagaluka, wakati Yanga bila shaka Said Bahanuzi na Hamisi Kiiza wataendelea kumpumzisha kwenye benchi Jerry Tegete na Haruna Niyonzima ataongoza safu ya kiungo.
Kihistoria mechi kati ya Yanga na APR huwa ni kali na za kusisimua tangu zianze kukutana mwaka 1996 katika Klabu Bingwa Afrika Mashariki na Kati na mara nyingi watoto wa Jangwani ‘hutoshana nguvu’ na timu hiyo ya jeshi la Rwanda. 
Azam ikiwa na morali ya hali ya juu, safu yake ya kiungo inatarajiwa kuongozwa na kiungo bora mzalendo kwa sasa Tanzania, Salum Abubakar ‘Sure Boy Jr’ wakati kwenye ushambuliaji mfungaji bora wa Ligi Kuu, Adebayor wa Chamazi atapewa dhamana.
BIN ZUBEIRY inazitakia kila la heri timu za Tanzania katika hatua hii zishinde leo na kulihakikisha Kombe la Kagame kuendelea kuishi katika Bandari Salama. Mungu ibariki Tanzania, zibariki Azam na Yanga. Amin.
JE WAJUA?
1.                      Klabu ya Armee Patriotique Rwandaise, maarufu kama A.P.R., ilianzishwa mwaka 1993 na inamilikiwa na Jeshi la Rwanda na katika kipindi cha uhai wake, mafanikio yake makubwa ni kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu ya Rwanda mara 12 (1995, 1996, 1999, 2000, 2001, 2003, 2005, 2006, 2007, 2009, 2010 na 2011), Kombe la Kagame mara mbili (2004 na 2007) na kufika Nusu Fainali ya Kombe la Washindi mwaka 2003.
2.                      Young Africans SC maarufu kama Yanga iliyoanzishwa rasmi mwaka 1935, hadi sasa mafanikio yake makubwa ni kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu ya Bara mara 23, (1968, 1969, 1970, 1971, 1972, 1974, 1981, 1983, 1985, 1987, 1989, 1991, 1992, 1993, 1996, 1997, 1998, 2002, 2005, 2006, 2008, 2009 na 2011), Kombe la Kagame mara nne (1975, 1993, 1999 na 2011), kufika Robo Fainali ya Klabu Bingwa Afrika mara tatu (1969, 1970 na 1998) na Kombe la Washindi 1996.
3.                      Wakati Yanga, kocha wake ni Mbelgiji Tom Saintfiet, APR inafundishwa na kocha Mholanzi, Ernie Brandts- na wakati Yanga Mwenyekiti wake ni mfanyabiashara milionea, Yussuf Manji, APR Mwenyekiti wake ni mdogo wa rais wa Rwanda, Paul Kagame aitwaye Alex Kagame.
4.                      Nembo ya Yanga ina alama ya Mwenge, ramani ya Afrika na mpira- ikimaanisha kushiriki harakati za Uhuru wa Tanganyika, ambayo baadaye iliungana na Zanzibar na kuwa Tanzania (Mwenge), timu halisi ya Afrika (ramani) na timu ya mpira (mpira), wakati nembo ya APR ina alama ya mnyama Simba na mpira- vikimaanisha, ni wafalme kama mnyama Simba porini (Simba) na timu ya mpira (mpira). 
5.                      Wakati Yanga ambayo huvalia jezi za rangi ya kijani na njano, ilishiriki michuano hii kwa mara ya kwanza mwaka 1975 na kutwaa Kombe, APR ambao huvalia jezi za rangi nyeupe na nyeusi siku zote, mara nyingi zikiwa za mistari ya punda milia, ilishiriki kwa mara ya kwanza michuano hii mwaka 1996 na kushika nafasi ya pili, baada ya kufungwa 1-0 na Simba kwenye fainali.
6.                      Wakati wapinzani wa jadi wa Yanga, nchini Tanzania ni Simba SC kwa APR wapinzani wao wa jadi Rwanda ni Rayon Sport.
Makocha; Ernest Brandy Mholanzi wa APR kulia na Tom Saintfiet Mbelgiji wa Yanga
REKODI YA YANGA NA APR KAGAME;
1996 Dar es Salaam; Yanga 2-2 APR (Nusu Fainali, APR ilishinda kwa penalti 4-2)
2008 Dar es Salaam; Yanga 2-2 APR (Kundi C)
2012 Dar es Salaam; Yanga 2-0 APR (Kundi C, Julai 20)
2012 Dar es Salaam; Yanga V APR (Nusu Fainali, Julai 26)
 
 
                      habari hii imeandaliwa na        www.bongostaz.blogspot.com
 
Mechi ya kwanza ambayo Yanga iliifunga APR 2-0        

Jul 23, 2012

WASHINDI TUZO ZA TEEN CHOICE AWARDS 2012

Teen Choice Awards 2012: 'Hunger Games' and 'Breaking Dawn I' Are Big Winners in Movie
See larger image




Winners of the 2012 Teen Choice Awards have been revealed on Sunday, July 22. In movie field, "The Hunger Games" became a big winner by claiming the most gongs. Still, the most coveted Ultimate Choice Award went to "The Twilight Saga's Breaking Dawn Part I", which also bagged multiple kudos during the event.

"Hunger Games" won the Choice Sci-Fi/Fantasy Movie prize, while also bringing its lead stars Jennifer Lawrence and Josh Hutcherson as the Choice Sci-Fi/Fantasy Movie Actor and Actress respectively. The two also won the Choice Liplock prize. Meanwhile, Liam Hemsworth and Alexander Ludwig grabbed the Male Scene Stealer and Villain awards respectively.

Though taking home less kudos compared to "Hunger Games", "Breaking Dawn I" was the one which stole the spotlight during the event. Claiming Choice Romance Movie and Romance Actress, the penultimate chapter of the "Twilight Saga" film series also broke a record as it bagged the Ultimate award, which marked the franchise's 41st surfboard-shaped TCAs gong.

The franchise's lead actors, Kristen Stewart, Robert Pattinson and Taylor Lautner were all on hand to pick up the "lifetime achievement award" version of the teen-fueled show. Thanking Twihards for the big achievement, Lautner gushed, "It's amazing you guys are still around and just as strong and just as loyal."

Other multiple winners at this year's TCAs included Emma Stone who took home Choice Drama and Comedy Actress trophies, Zac Efron who won Choice Drama and Romance Actor kudos, and Kristen Stewart who claimed Choice Romance Actress and Movie Star of the Summer prizes. Rihanna and Taylor Swift, meanwhile, snatched Choice Movie Breakout and Choice Movie Voice awards respectively.

Taking place at at the Gibson Amphitheatre, Teen Choice Awards 2012 was hosted by Demi Lovato and Kevin McHale. Host Lovato said that 134 million votes were cast for the 14th annual awards.

2012 Teen Choice Awards Movie Winners:

  • Ultimate Choice Award: "The Twilight Saga's Breaking Dawn Part I"
  • Choice Movie: Sci-Fi/Fantasy: "The Hunger Games"
  • Choice Movie Actor: Sci-Fi/Fantasy: Josh Hutcherson - "The Hunger Games"
  • Choice Movie Actress: Sci-Fi/Fantasy: Jennifer Lawrence - "The Hunger Games"
  • Choice Movie: Action: "Abduction"
  • Choice Movie Actor: Action: Taylor Lautner - "Abduction"
  • Choice Movie Actress: Action: Zoe Saldana - "Colombiana"
  • Choice Movie: Drama: "The Lucky One"
  • Choice Movie Actor: Drama: Zac Efron - "The Lucky One"
  • Choice Movie Actress: Drama: Emma Stone - "The Help"
  • Choice Movie: Comedy: "21 Jump Street"
  • Choice Movie Actor: Comedy: Channing Tatum - "21 Jump Street"
  • Choice Movie Actress: Comedy: Emma Stone - "Crazy, Stupid, Love."
  • Choice Movie: Romance: "The Twilight Saga's Breaking Dawn Part I"
  • Choice Movie Actor: Romance: Zac Efron - "The Lucky One"
  • Choice Movie Actress: Romance: Kristen Stewart - "The Twilight Saga's Breaking Dawn Part I"
  • Choice Movie Scene Stealer: Male: Liam Hemsworth - "The Hunger Games"
  • Choice Movie Scene Stealer: Female: Ashley Greene - "The Twilight Saga's Breaking Dawn Part I"
  • Choice Movie Villain: Alexander Ludwig - "The Hunger Games"
  • Choice Movie Breakout: Rihanna - "Battleship"
  • Choice Hissy Fit: Charlize Theron - "Snow White and the Huntsman"
  • Choice Movie of the Summer: Music/Comedy: "Katy Perry: Part of Me"
  • Choice Summer Movie: Action: "The Avengers"
  • Choice Movie Star of the Summer: Female: Kristen Stewart - "Snow White and the Huntsman"
  • Choice Movie Star if the Summer: Male: Chris Hemsworth - "Snow White and the Huntsman" and "The Avengers"
  • Choice Movie Voice: Taylor Swift as Audrey - "The Lorax"
  • Choice Liplock: Josh Hutcherson and Jennifer Lawrence - "The Hunger Games"

MAMA WA MICHAEL JACKSON (KATHERINE JACKSON))AMEONEKANA NI BAADA YA REPORT KUZAGAA KUWA AMEPOTEA

Katherine Jackson Safe After Reported Missing

Authorities say they have confirmed that Michael Jackson's mother Katherine is safe and staying with a family member in Arizona after a relative reported her missing over the weekend.
The Los Angeles Sheriff's Department confirms to ET that investigators had made contact with Jackson, but details were not provided about her specific whereabouts. Her son Jermaine Jackson said in a statement on Sunday that his mother was staying with her daughter Rebbie in Arizona, following a doctor's order to "de-stress" and stay away from the phone and computers. He said access to his mother was not being blocked.
   RELATED: Paris Jackson Defends Grandmother Against Rumors
A member of the Jackson family reported Katherine -- who serves as the guardian of Michael Jackson's three children Paris, Prince Michael and Blanket -- missing on Saturday. Michael's 14-year-old daughter Paris also expressed concern over her grandmother's whereabouts on Twitter. "I haven't spoken with her in a week I want her home now," Paris tweeted Saturday.
The missing person report came amid an ongoing dispute between some members of the Jackson family and the executors of his estate working with Katherine. Five of the late pop star's siblings recently claimed that Michael's will was fake and they have demanded that the executors of his lucrative estate should resign.

CHRIS BROWN KUWA STAR NDANI YA MOVIE YA BATTLE OF THE YEAR

  



Chris Brown will be the star of BATTLE OF THE YEAR, a movie set for a 3D release in January 2013 that will also see Josh Holloway (Lost), Laz Alonso (Jumping the Broom, Avatar) and Josh Peck.

Battle of the Year
is the biggest break dancing competition in the world and is held every year in Germany.. but the Americans haven't won in fifteen years. Los Angeles Hip Hop mogul and former B-Boy Dante (Alonso) wants to put the country that started the movement back on top.
TRAILER
    

BOXING PROMOTER CLAIMS DRAKE IS SCARED TO FIGHT CHRIS BROWN



  ACCORDING to RumorFix has learned exclusively that a boxing match between Drake and Chris Brown will not be happening, according to boxing promoter Damon Feldman, because Drake wants no part of Brown in the ring.
Feldman and wealthy entrepreneur Alki David offered Brown and Drake $5 million each to box each other three rounds in a Las Vegas fight. And Brown told RumorFix last month he was open to the idea of boxing his music rival, but “Drake won’t box,” Feldman tells us.
“He said he doesn’t want to go that route. So basically he punked out. There will be no fight now,” he continued.
Brown and Drake’s entourages were involved in a scuffle inside a New York nightclub back in June. Since then, Brown has publicly dissed Drake in a song. “The boxing match would have settled the grudge and helped charities. I’m pissed because Chris Brown wanted this and everything was set!”
A rep for Brown maintains that his client was never formerly offered a deal by Feldman or David, and says that even if he was, Brown would not have boxed in the match.

picha na matukio yote uwanja wa taifa leo bila kusahau YANGA NA APR NUSU FAINALI

YANGA imefuzu kuingia Nusu Fainali ya Klabu Bingwa ya soka Afrika Mashariki na Kati, Kombe la Kagame, baada ya kuifunga Mafunzo ya Zanzibar kwa penalti 5-4, kufuatia sare bya 1-1 ndani ya dakika 90 Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam, wawakilishi wa Zanzibar Mafunzo walikuwa wa kwanza kupata bao lililofungwa na Ali Othman Mmanga, dakika ya 34, akiunganisha kona ya Juma Othman Mmanga na Yangab wakasawazisha dakika ya 46, mfungaji Said  Bahanuzi ‘Spider Man’.
Yanga sasa itamenyana na APR ya Rwanda, keshokutwa ambayo katika Robo Fainali ya kwanza, imeitoa URA ya Uganda kwa kuifunga 2-1, mabao yake yakifungwa na Jean Claude Iranzi dakika ya tisa na Suleiman Ndikumana dakika ya 34, wakati la Watoza Ushuru wa Kampala, lilifungwa na Robert Ssentongo dakika ya 57.
yafuatayo ni baadhi ya matukio yaliyojitokeza leo uwanjani 
Jerry Tegete kulia na Haruna Niyonzima kushoto wakimpongeza Chuji- nyuma nyuma ni Bahanuzi 'Spider Man'


Benchi Yanga likiomba dua wakati Chuji anakwenda kupiga penalti ya mwisho

Said Bahanuzi 'Spider Man''

Mmanga akiwa kwenye machela baada ya kupoteza fahamu

Hapa ni mara tu baada ya kuanguka akisaidiwa kwa kupepewa na wenzake
picha na matukio yote yamechukuliwa bongostaz.blogspot.com

Jul 19, 2012

PICHA 45 NA TUKIO ZIMA LA AJALI, ZANZIBAR

PICHA NA TUKIO ZIMA MPAKA SASA HALI ILIVYO ZANZIBAR





Waziri wa Nchi Afisi ya Rais na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Mwinyihaji Makame akitoa taarifa kwa Waandishi wa Habari kuhusiana na kuzama kwa Meli ya Star Gate hukokatika bahari ya Chumbe Zanzibar na ikiwa na abiria 250.


Wananchi mbalimbali wakishuhudia tukio la kuokolewa watu waliozama na meli ya Star Gate huko katika hukokatika bahari ya Chumbe Zanzibar na ikiwa na abiria 250.


Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Idi akiwa katika Eneo la Bandari akishuhudia kuletwa kwa majeruhi mbalimbali waliookolewa katika meli ya Star Gate iliozama huko katika bahari ya Chumbe Zanzibar na ikiwa na abiria 250.


Spika wa Baraza la Wawakilishi Pandu Amer Kificho pamoja na mawaziri mbalimbali wakiwa katika Eneo la Bandari wakishuhudia kuletwa kwa majeruhi mbalimbali waliookolewa katika meli ya Star Gate iliozama huko katika bahari ya Chumbe Zanzibar na ikiwa na abiria 250


Majeruhi alieokolewa katika meli ya Star Gate iliozama huko katika bahari ya Chumbe Zanzibar na ikiwa na abiria 250.


Majeruhi wakipatiwa Mablanketi kwa ajili ya kujihifadhi baada ya kuokolewa katika meli ya Star Gate iliozama huko katika bahari ya Chumbe Zanzibar na ikiwa na abiria 250.
rais wa zanzibar dkt alli mohammed shein wa pili toka kulia akiwa bandarini zanzibar














meli ikiwa U.S.A








Hizi ndizo Meli za Mv Skagit ambazo kwa mara ya kwanza tuliripoti kwenye blog hii (chiwileinc) ununuzi wake tarehe 19/02/2011 na hapa chini ndiyo maelezo yake,
Vifaa vilivyonunuliwa kutoka Marekani - Washington State na moja ya kampuni za usafiri kwa Dola laki nne kwa zote mbili ambapo vitakapowasili vitatoa huduma za usafiri kati ya Zanzibar na Dar.
Boti hizi zilitengenezwa mwaka 1989 na kila moja ina uwezo wa kubeba abiria 250 ziliwahi kuwekwa kwenye mtandao wa E bay kwa bei ya Dola laki tatu kila moja lakini hazikupata wateja. Zilipotengenezwa mwaka 1989 ziligharimu Dola milioni tano.

Sijui zitakapowasili zitapewa majina gani.




The state finally has sold two of its discarded passenger-only ferries, the Kalama and the Skagit, to the African nation Tanzania.
The ferries have been docked and inactive since September 2009. The Legislature ordered the state to get out of the passenger-only ferry business in '06.
The two ferries had been sold to a boat broker in Port Coquitlam, B.C., which sold them to Tanzania. They will be put in service between the mainland of Tanzania and the Zanzibar archipelago. They were sold for $400,000 combined, far below the $900,000 value the state said they were worth in December 2009.
Marta Coursey, spokeswoman for Washington State Ferries, said the two boats will be taken to Africa by cargo ship.
The state had hoped to sell the two 112-foot boats locally, but when that failed, it placed them for auction on eBay, asking $300,000 each, with no success. The ferries were built in New Orleans and purchased in 1989 for $5 million.
meli ikiwa tanzania


.


Ferry historian Steve Pickens said the Kalama and the Skagit were the first two passenger-only boats the state built. They were supposed to go into service in 1989 but were tied up because there was no money to run them. Following the Loma Prieta earthquake of 1989, the two vessels were sent to San Francisco and served commuters crossing the bay while the city's bridges were r 
        
         Taarifa ya Serikali - Kuzama kwa Meli Zanzibar MAAFA YA KUZAMA KWA MELI ZANZIBAR
Meli ya Mv. Star Gate imezama karibu na Kisiwa cha Chumbe ambapo watu 12 wamefariki hadi muda huu na wengine kadhaa wamejeruhiwa.
Akitoa taarifa fupi kwa waandishi wa habari,Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi,Dk. Mwinyihaji Makame Mwadini alisema taarifa za kuzama kwa meli hiyo ilitolewa na Boti iendayo kasi ya Kilimanjaro III iliyokuwa ikitokea Dar es Salaam kwenda Zanzibar ndipo ilipoiona meli hiyo ikizama.
“Tulipata taarifa kutoka Boti ya abiria ya Kilimanjaro III saa 7:50 mchana waliporipoti kuona meli ikizama karibu na Kisiwa cha Chumbe” Alisema Waziri Mwinyihaji.
Waziri huyo alisema Meli hiyo imezama maili sita kuelekea Kisiwa cha Yasin Kusini mwa Kisiwa cha Chumbe kilichopo Unguja maili kadhaa kutoka Bandari ya Malindi.

           Waziri Mwinyihaji alisema idadi ya abiria walikuwa 250 ambao ni watu wazima, watoto 31 na mabaharia 6. “Tumepeleka waokoaji, kuna boti tano zipo eneo la tukio kushirikiana na waokoaji wengine” Alisema Waziri Mwinyihaji.
Alisema maiti zote zitapelekwa viwanja vya Maisara Zanzibar kwa ajili ya ndugu na jamaa kuzitambua maiti za ndugu zao ambapo majeruhiwa wote watatibiwa Hospitali Kuu ya Mnazi Mmoja.
                Katika Bandari ya Malindi mwandishi wetu ameshuhudia maiti kadhaa zikiwemo za watoto zikishushwa, Miongoni mwa abiria waliookolewa ni raia 13 wa Mataifa mbalimbali ya nje huku raia mmoja ambaye hakuweza kutambuliwa utaifa wake  amepoteza maisha.
                      Makamu wa Pili wa Rais Zanzibar, Balozi Seif Ali Idd alifika eneo la Bandari ya Malindi Zanzibar pamoja viongozi wengine akiwemo Spika wa Baraza la Wawakilishi, Pandu Ameir Kificho, Mawaziri na  baadhi ya Wajumbe a Baraza la Wawakilishi walikuwepo kutoa msaada  unaohitajika.
               Katika eneo la pembezoni mwa bandari ya Malindi, makundi ya wananchi yalikuwa yamekusanyika wakisubiri taarifa za tukio hilo tangu saa 8:30 mchana.
Vikosi vya ulinzi na usalama, msalaba mwekundu na watoaji wengine wa misaada ya dharura walifika kwa haraka eneo la tukio.
Hadi sasa kazi ya uokoaji inaendelea karibu na Kisiwa cha Yasin ilikozama meli hiyo.
    Meli ya Mv. Star Gate inamilikiwa na kampuni ya kizalendo ya Sea Gull Sea Transport Ltd ambayo mwaka 2009 Meli yake nyengine ya Mv. Fatih ilipinduka na kuzama katika Bandari ya Malindi Zanzibar na kua watu sita.
        Mwaka jana Zanzibar ilikumbwa na maafa baada ya Meli ya Mv. Spice Islanders kuzama katika bahari ya Hindi eneo la Nungwi katika Kisiwa cha Unguja ikielekea Kisiwani Pemba ambapo taarifa rasmi ya Serikali ilisema watu 197 walipoteza maisha na wengine wengi kujeruhiwa.
Taarifa zaidi zitatolewa hapo baadea.
Imetolewa na:
Idara ya Habari(MAELEZO) Zanzíbar
Julia 18,2012
Zanzíbar,Tanzania

 Mmoja wa Majeruhi akipata huduma ya Kwanza baada ya kuokolewa akiwa katika bandari ya malindi
 Daktari akitowa huduma ya kwanza kwa mmoja wa majeruhi wa boti iliozama ikiktokea Dar-es-Salaam kuelekea Zanzibar






 Majeruhi wa ajali ya Meli wakiwa katika Hospitali ya Mnazi Mmoja wakipata huduma baada ya kuokolewa.
 Majeruhi wakiwa katika hospitali ya Mnazi Mmoja


Mwokoaji akiwa na mmoja wa maiti wa ajali hiyo
 Waokoaji wakiokoa moja ya maiti. wakiwa katika boti ya Kilimanjaro. 
  Majeruhi wakiwa katika mgongo wa boti hiyo wakisubiri kuokolewa.
 Baadhi ya Abiria wakiwa katika moja ya chombo cha kuokolea wakielea baharini wakisubiri kuokolewa.
 Boti ya KMKM ikiwa katika zoezi la kuokowa majeruhi. 
 Helikopta ya Jeshi la Polisi ikiwa eneo la tukio.
 Boti iliozama ni kama hii ni ni pacha wake.
 Boti ya Fly ikiondoka katika bandari ya Zanzibar kueleke kutowa msada w uokoaji.


 Waziri wa Mawasiliano na Miundombinu Hamad Masoud akiwa katika boti ya Kilimanjaro akiwa sehemu ya Tukio ilipozama boti hiyo maeneo ya Chumbe.
 Tagi la Shirika la Bandari likiwa katika sehemu ya tukio.






 

 imeandaliwa na chiwileinc.blogspot.com